Shilingi ya Tanzania hoi, uchumi ukipaa kwenye makaratasi, dola haishikiki. Kuzuiwa misaada na mauzo nje vyachangia

dosama

JF-Expert Member
Dec 25, 2010
912
957
IMG-20181120-WA0016.jpg




Prof. Honest Prosper Ngowi abainisha nini sababu ya thamani ya dola kupanda kulinganisha na shilingi ya Tanzania na mbaya zaidi kwa asilimia kubwa na kipi kifanyike upande wa serikali ili hali hii isiwe inajirudia rudia kwa asilimia kubwa kithamani . Mahojiano hayo na Prof. yalifanyika mwezi April 2017 na leo mwaka 2018 hali imejirudia tena

Nini kinafanya dola za kimarekani kuwa nyingi au chache ktk nchi kama Tanzania na kusababisha thamani ya dola kupanda au kushuka :
  1. Mauzo ya kupeleka nje ya nchi ya Tanzania kupungua
  2. Nchi ya Tanzania kununua kwa wingi mahitaji, bidhaa na mitambo n.k toka nje ya nchi
  3. Tanzania kuwa Bajeti tegemezi ya wafadhili toka nje
  4. Tanzania ijenge viwanda kupunguza manunuzi nchi za nje
  5. Kuongeza idadi ya wtalii toka nje.
  6. N.k
 
Katika hali kama hii bado serikali inazuia korosho kuuzwa nje ya nchi tupate dola!

Tanzania trans hiyo kuelekea Zimbabwe!

Tatizo ni dereva wa Tanzania trans ila soon waziri husika atabebeshwa mzigo kwa kupigwa chini na masimango juu tena hadharani.

Time will tell.
 
Hahaha subirini ndege zetu, zikianza kuleta watalii watakuja na madollar mengi tu, na uchumi utakua, korosho yetu ni bora kuliko zote duniani tukiisha ibangua tutauza wenyewe kule soko(kariakoo) ya dunia na yetu tutauza bei ya juu na ya kipekee ni bora haina mshindani.
Reli yetu ya Standard gauge itaingiza madollar mengi watakuja kujifunza kwetu itakuza uchumi mara dufu.
Tulieni rais atujengee nchi, akiamua anatengeneza shilingi kuuubwa sana kuliko dollar tuone hiyo dollar yenu kama itafurukuta.
 
Hahaha subirini ndege zetu, zikianza kuleta watalii watakuja na madollar mengi tu, na uchumi utakua, korosho yetu ni bora kuliko zite duniani tukiisha ibangua tutauza wenyewe kule soko(kariakoo) ya dunia na yetu tutauza bei ya juu na ya kipekee ni bira haina mshindani.
Reli yetu ya Standard gauge itaingiza madollar mengi watakuja kujifunza kwetu itakuza uchumi mara dufu.
Tulieni rais atujengee nchi, akiamua anatengeneza shilingi kuuubwa sana kuliko dollar tuone hiyo dollar yenu kama itafurukuta.
Leo sikukuu, kesho 7000 inaingiza , usijali tumekuelewa
 
Back
Top Bottom