Emery Paper
JF-Expert Member
- Jun 1, 2019
- 1,427
- 2,737
Wanaume tumebakia wachache maana kuna wenzetu wengi wameasi uanaume wao na kuunga mkono majukimu ya wanawake kwa kuanza kutoa huduma sawa na wanawake, lazima tuliobakia tuwe bidhaa adimu. Sikuhizi mtu anakubembeleza uzae nae tu, mtoto atalea mwenyewe.
