monde arabe
JF-Expert Member
- Oct 22, 2017
- 8,883
- 13,621
Hatar sana!
Sasa mtu asubuhi anakula mkate.... mchana wali usiku chips chipsi yai la kisasa... anashushia na pepsi.... alafu anaenda piga shoo...dakika 5 yuko hoi...hapo kutakuwa na mwanaume... lazima tubaki wachache... na wasipo badilika tutawagongeatu...Wakuu wazima...
Sasa shilingi imegeuka upande wa pili, ikiw na maana sasa wadada wananunua penzi.
Hapo awali shilingi kabla haijageuka, vidume walipata tabu sana.
Yani kama huna senti basi kwisha habari yako, ila sasa ngoma droo.
Saivi hata kama huna senti kidume wewe shoo yako iwe karee tu.
Saivi si wanaume wala wadada wananunua penzi, tena wadada wanashika nafasi ya kwanza.
Maana saivi kiumbe mwanaume kapotea hataree, hivyo hamna namna wananunua tu.
Yani saivi raha tu kidume unalambwa miguu tu ili tu ukubali.
Na bado wanaadimika hawa viumbe wa kiume, wadada watanyooka.
Doncute


Mkuu unafeli wapi... maana wa siku ukiongea nae utani tu amejaa...wapi huko.? mana me bd namsumbua mwajuma anikubalie.
Wewe acha hizo muulize miss chagga akueleze vidume wa huko!Mkuu wewe uko Nanjilinji...mambo ya Mujini haya
Wakuu wazima...
Sasa shilingi imegeuka upande wa pili, ikiw na maana sasa wadada wananunua penzi.
Hapo awali shilingi kabla haijageuka, vidume walipata tabu sana.
Yani kama huna senti basi kwisha habari yako, ila sasa ngoma droo.
Saivi hata kama huna senti kidume wewe shoo yako iwe karee tu.
Saivi si wanaume wala wadada wananunua penzi, tena wadada wanashika nafasi ya kwanza.
Maana saivi kiumbe mwanaume kapotea hataree, hivyo hamna namna wananunua tu.
Yani saivi raha tu kidume unalambwa miguu tu ili tu ukubali.
Na bado wanaadimika hawa viumbe wa kiume, wadada watanyooka.
Doncute
We s upo dar kwaiyo iv vitu uli au umeamua kuweka wazi full menu yako y sikuSasa mtu asubuhi anakula mkate.... mchana wali usiku chips chipsi yai la kisasa... anashushia na pepsi.... alafu anaenda piga shoo...dakika 5 yuko hoi...hapo kutakuwa na mwanaume... lazima tubaki wachache... na wasipo badilika tutawagongeatu...![]()
mbona mimi siipati hii bahati, nipe namba za hao wanaonunua penzi tafadhaliSasa shilingi imegeuka upande wa pili, ikiw na maana sasa wadada wananunua penzi.
Humtaki hata kumuona???Naomba mtu aje kumnunua wangu..... Dalali ni mimi mwenyewe
Ngoja nilale, nikiamka ntacomment vzr juu ya hizi points ulizotoa, now nasinziaMambo yanakwenda kwa kasi sana amor
1.haya ni matokeo ya ke wenye vipato kutopata mapenzi ya kweli na kutotaka kuwa chini ya me kama vitabu vya dini vinavyoanisha
2.me wa sikuizi wapenda miteremko ni wengi,sampuli ya wataftaji na wenye misimamo ya kiume inapotea kwa kasi sana waliobaki ndohawa tunagombea nao lotion na skinjeans
3.wazazi wengi wamepoteza weledi wa makuzi kwa both me na ke labda sababu ya ubize wa kutafuta ela,wengi wanalelewa na mahousegirl or wengine wanakuzwa na jamii huko nje or wajomba/ndugu tunaoishi nao ndomana ushoga nao umekithiri
NOTE; acha tuwanunue tu maana shilling ishageuka amor
Cc Kingsmann

Hapana nataka kumuona.... Yaani namkodisha kwa MudaHumtaki hata kumuona???
🙆🏽♂️🙆🏽♂️Naomba mtu aje kumnunua wangu..... Dalali ni mimi mwenyewe