Uchumi wetu hauko sawa kwani hatuuzi bidhaa nyingi nje ya nchi na badala yake tunanunua bidhaa nyingi kutoka nje. Hali hii inasababisha shilingi iyumbe. Wakati umefika sasa kujizatiti kuwa na uchumi unaweka msisitizo kwenye kuuza nje bidhaa na huduma (Export oriented economy)
hapa bila.kuondoa ccm na vibaraka wake uctegemee mabadiliko yyt ndan ya nchi hii.ccm ya nyerere cyo hii .CCM hii imejaa mafisadi na wala rushwa wakumbwa .ndiyo maana nchi imedolola vibaya .wanawaza ni njinsi ngan waibe na kupeleka Uswiz
Tatizo jingine linaloweza kuua kabisa thamani ya sarafu yetu ni ufisadi uliopindukia. Si vigumu kujua kwamba ukimwaga hela yetu ya madafu mitaani kwa mabilioni kadhaa thamani ya fedha itashuka, thamani ya fedha za kigeni zitapanda na maisha kuongezeka ugumu. Hebu tafakari ni mara ngapi kumetokea "kashfa" ya wajanja flani kijichotea mabilioni? Tena chanzo cha ufisadi huo kuhusisha Benki Kuu?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.