Shilam Disco Tech Dom au NK

Shilam Disco Tech Dom au NK

babukijana

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2009
Posts
15,935
Reaction score
20,229
Wakulungwa mshafika humo hapo Dom enzi hizo,
Shilam Disco ilikuwa balaa la mjini.
Ilikua dakika mbili tu toka home kufika mle, tumecheza sana break dance mle ndani.
Na wale mabinti ukiwakuta mle, walikua wazuri,wazuri sana.
simu Hamna mnaandikiana barua kupitia SLP.
Unaandika leo unatuma mwenzio mpaka barua imfikie huko kijijini kaolewa mara 3 na watoto 10.
Sijui leo tuna wabunge km kina babutale,anakuja babalevo, mwanafa hawa nafkiri kipindi hicho walikua wananyonya.
Shilam mzee alifariki, Iringa Road tulikua majirani, pia Club mtaa mwingine tulikua hapo.
Nimekumbuka hayo maeneo enzi hizo hamna purukushani za kisiasa.
Una kumbuka nini toka "Dodoma" km alivyoimba Dr Remmy
 
Back
Top Bottom