sentino2015
Senior Member
- Apr 9, 2015
- 176
- 30
Nasema shikamon!
Salam ya heshima Kabisa kwa Jamii ya sisi waswahili!nimetafakari kwa Yale yanayoendelea nchi jirani!nikalinganisha na Hali ya utulivu ya nchini hapa nagundua kuwa zipo jitihada zinazofanyika na vyombo vyetu vya Usalama.
2. Usiri wa baadhi ya raia kuwaficha waharifu ni Jambo ambalo hali wezi kutusaidia kinachotakiwa,tushirikiane.
3. Dhana butu kudhani jukumu la Usalama ni wana Usalama tu naona laweza kuleta madhara baadaye!
Ndicho nilimaanisha am sorry kwa usumbufu.
Salam ya heshima Kabisa kwa Jamii ya sisi waswahili!nimetafakari kwa Yale yanayoendelea nchi jirani!nikalinganisha na Hali ya utulivu ya nchini hapa nagundua kuwa zipo jitihada zinazofanyika na vyombo vyetu vya Usalama.
2. Usiri wa baadhi ya raia kuwaficha waharifu ni Jambo ambalo hali wezi kutusaidia kinachotakiwa,tushirikiane.
3. Dhana butu kudhani jukumu la Usalama ni wana Usalama tu naona laweza kuleta madhara baadaye!
Ndicho nilimaanisha am sorry kwa usumbufu.