bartenderznz
JF-Expert Member
- Jul 18, 2016
- 398
- 195
Nimeikumbuka ile man u ya Roy Kean,Nick Butty,David Becam na Jap Stam,kuna usuluhu pale kati na watu wanapambana kweli kweli.Pogba anamiguu kama kijiko yaani ni noma!
Ibrahimovic anapiga vichwa kama yule beberu wangu wa kijijini enzi zile.HAHA!HAHA! usingizi umerudi tena.
Uahauri wa bure Wenger tumepia pesa unawatesa waahabiki wako huku kitaa wameanza kuhama maskani.
Ibrahimovic anapiga vichwa kama yule beberu wangu wa kijijini enzi zile.HAHA!HAHA! usingizi umerudi tena.
Uahauri wa bure Wenger tumepia pesa unawatesa waahabiki wako huku kitaa wameanza kuhama maskani.