Wewe itika usione aibu. Ukiona mke wako anakusalimia shikamoo jua wewe ni mwanaume kweli kwenye hiyo ndoa. Matumizi unatoa kwa wakati a unampa mahaba hadi anafika kibo.
😹😹😹 Siamkii toto la mtu mimi..!!
Kuna wale wengine wanavuka mipaka eti mume wake anamuita baba 🤣
Cheo cha baba yangu nimpe mwanaume tunayekalishana chuma mboga? Sifanyi ufala huo.
Majina km yameisha nakuita jina lako uliopewa na wazazi wako tusichoshane..!!
Mm 28 mkee ni 23 Miaka 6 ya kuwa pamoja ananisalia kama kawaida.
Now mama na mwana wote napata salamu.
Ila binti yoyote hata kama yupo under 18 siwezi kubali salamu yake