GE2025 Shigongo: Kazi ya maendeleo itafanywa Rais Samia, mimi pamoja na ninyi wananchi wa Buchose

GE2025 Shigongo: Kazi ya maendeleo itafanywa Rais Samia, mimi pamoja na ninyi wananchi wa Buchose

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025

Mkalukungone Mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
2,437
Reaction score
5,235
“Kazi ya maendeleo itafanywa na Dkt. Samia Suluhu Hassan, mimi pamoja na ninyi wananchi. Ninatakiwa kuwa na wasaidizi wengine ambao ni madiwani wa CCM, hivyo kazi kubwa kwetu ni mwezi Oktoba kujitokeza kwa wingi kwenda kupiga kura,” alisema Mgombea ubunge wa Jimbo la Buchosa, Eric Shigongo.

Aidha, amewataka wananchi wa Buchosa kujitokeza kwa wingi ili kuhakikisha CCM inashinda kwa kishindo akisisitiza kuwa Buchosa imepiga hatua kubwa lakini bado kazi haijaisha.

 
Back
Top Bottom