BHULULU JF-Expert Member Joined Jun 28, 2012 Posts 4,994 Reaction score 2,044 Mar 22, 2014 #41 Ila iko siku hao wanaojiita OFM, wataingia choo cha kike tu. Watakutana na mtu gaidi awatoe ma.v*. Uhuru wa watu unaingiliwa sana.
Ila iko siku hao wanaojiita OFM, wataingia choo cha kike tu. Watakutana na mtu gaidi awatoe ma.v*. Uhuru wa watu unaingiliwa sana.
The Businessman JF-Expert Member Joined Jan 9, 2014 Posts 7,397 Reaction score 9,263 Mar 22, 2014 #42 Kamata fulsa twenzetu
B batchu JF-Expert Member Joined Mar 11, 2014 Posts 263 Reaction score 35 Mar 22, 2014 #43 Never give up said: Serikari ipo busy kufuatilia/ kufungia magazeti ya kubenea Click to expand... Hili nalo neno!yn badal ya kuangalia kinachopotosha jamii wanakaz ya kufungia magazines znye tija na weledi
Never give up said: Serikari ipo busy kufuatilia/ kufungia magazeti ya kubenea Click to expand... Hili nalo neno!yn badal ya kuangalia kinachopotosha jamii wanakaz ya kufungia magazines znye tija na weledi
mabesela JF-Expert Member Joined Mar 14, 2014 Posts 1,294 Reaction score 680 Mar 22, 2014 #44 Hamjui maana ya udaku!!?? Hata first world ndo yanaongoza kusomwa hayo. Staa akinunua hata chupi atapigwa picha kuwa front page. Chezea udaku weye aha ha ha ha
Hamjui maana ya udaku!!?? Hata first world ndo yanaongoza kusomwa hayo. Staa akinunua hata chupi atapigwa picha kuwa front page. Chezea udaku weye aha ha ha ha
warumi R I P Joined May 6, 2013 Posts 16,213 Reaction score 18,455 Mar 23, 2014 #45 muache tu huyu firauni ajifanye anajua, ita mcost siku