..CCM ya miaka ya hivi karibuni 'nzuri' kweli!utashuhudia mipasho kama ya makundi ya taarabu, utashuhudia miropoko, ubabe wa kijinga, kuzushiana na kuwazushia wengine (e.g udini, ukabila n.k)..kibaya tu ni kuwa kadri wananchi 'wanavyowaendekeza' ndio kadri hiyohiyo wanavyotuharibia nchi-ufisadi,kujilimbikizia, kuchafuana n.k...it is high time we make them stop this nonsense!