Team Lumumba
Member
- Jul 6, 2013
- 54
- 32
Wanajamvi
Nikiwa ni Kada wa CCM ninayetambua Umuhimu wa Youth Wing katika Uhai wa Chama chochote cha siasa nachelea kusema waziwazi kwamba Katibu wetu wa UVCCM bwn. Martini Shigela ni Mzigo.
Ni Mtu ambaye kauli zake
1. Hazivutii ( Maana zimejaa propaganda kuliko Facts)
2. Hazina Logic
Martin Shigela ni Mtu anayeongea utadhani ni CCM peke yake wanamsikiliza.
Moja kati ya Kauli za Shigela zenye Ukakasi na Kutia Kinyaa na zisizo na Mvuto wala Mantiki
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa UVCCM, Martine Shigela, alisema kuwa wana wasiwasi na mafunzo yatakayotolewa na Chadema, yatakuwa na ‘sura ya kigaidi' kwa vile yatafanyika kwa siri.
Hapa ananukuliwa akisema kwamba
"
Hivi Shigela ni Mungu mpaka ajue Mafunze kwa Vijana wa Chadema YATAKUWEJE?
Kwa mujibu wa Shigela, UVCCM haifanyi kazi za ulinzi kama `red brigade' badala yake wanaangalia ni jinsi gani vijana wanaboreshewa huduma mbalimbali za kijamii kupitia siasa
Cheki hii picha halafu useme kweli Kijana anayemsikiliza Shigela akiangalia hii picha atasemaje kuhusu aina ya Viongozi walio ndani ya CCM
Hii Picha Imetudhalilsha sana CCM, Imemdhalilisha sana Mwenyekiti Ukitegemea Kauli yake aliyoitoa Juzi dhidi ya Wapinzani.
Sasa tukiulizwa kwamba CCM tunamiliki silaha za kivita tutasemaje? Tutasema tuliazima polisi au Jeshini kwa ajili ya Gwaride? Je Chama chochote kinaruhusiwa Kuazima Silaha kama hii? Tukiulizwa hawa watoto wana Umri wa Miaka Mingapi Tutajibu vipi
Shigela must Go, Umeshindwa kumshauri Mwenyekiti Mpaka amedhalilika kwa kiasi Kikubwa
Well Tunaweza kufanikiwa (Kuwin) kuwanyamazisha akina Slaa, Zitto lakini tukapoteza Mvuto kwa wananchi.
Nikiwa ni Kada wa CCM ninayetambua Umuhimu wa Youth Wing katika Uhai wa Chama chochote cha siasa nachelea kusema waziwazi kwamba Katibu wetu wa UVCCM bwn. Martini Shigela ni Mzigo.
Ni Mtu ambaye kauli zake
1. Hazivutii ( Maana zimejaa propaganda kuliko Facts)
2. Hazina Logic
Martin Shigela ni Mtu anayeongea utadhani ni CCM peke yake wanamsikiliza.
Moja kati ya Kauli za Shigela zenye Ukakasi na Kutia Kinyaa na zisizo na Mvuto wala Mantiki
Akizungumza jijini Dar es Salaam jana, Katibu Mkuu wa UVCCM, Martine Shigela, alisema kuwa wana wasiwasi na mafunzo yatakayotolewa na Chadema, yatakuwa na ‘sura ya kigaidi' kwa vile yatafanyika kwa siri.
Hapa ananukuliwa akisema kwamba
"
Gazeti la NipasheTunalaani vikali mafunzo hayo, hayana tija yoyote kwa jamii yeyote,"
Hivi Shigela ni Mungu mpaka ajue Mafunze kwa Vijana wa Chadema YATAKUWEJE?
Kwa mujibu wa Shigela, UVCCM haifanyi kazi za ulinzi kama `red brigade' badala yake wanaangalia ni jinsi gani vijana wanaboreshewa huduma mbalimbali za kijamii kupitia siasa
Cheki hii picha halafu useme kweli Kijana anayemsikiliza Shigela akiangalia hii picha atasemaje kuhusu aina ya Viongozi walio ndani ya CCM
Hii Picha Imetudhalilsha sana CCM, Imemdhalilisha sana Mwenyekiti Ukitegemea Kauli yake aliyoitoa Juzi dhidi ya Wapinzani.
Sasa tukiulizwa kwamba CCM tunamiliki silaha za kivita tutasemaje? Tutasema tuliazima polisi au Jeshini kwa ajili ya Gwaride? Je Chama chochote kinaruhusiwa Kuazima Silaha kama hii? Tukiulizwa hawa watoto wana Umri wa Miaka Mingapi Tutajibu vipi
Shigela must Go, Umeshindwa kumshauri Mwenyekiti Mpaka amedhalilika kwa kiasi Kikubwa
Well Tunaweza kufanikiwa (Kuwin) kuwanyamazisha akina Slaa, Zitto lakini tukapoteza Mvuto kwa wananchi.