Shift incharge Post Tanroads Kibaha

Joined
Feb 4, 2013
Posts
14
Reaction score
0
Jamani wana JF naomba niwaulize kwamba hivi zile nafasi za shift incharge Tanroads Kibaha ziliishatoka?
 
unamaanisha nn? kama ni kuitwa kwenye interview hilo tayari. ilikuwa tarehe 5-8 mwezi huu pale kibaha. ila kuhusu ajira sijajua. hata mie natamani kujua cause nilipiga interview hiyo
 
unamaanisha nn? kama ni kuitwa kwenye interview hilo tayari. ilikuwa tarehe 5-8 mwezi huu pale kibaha. ila kuhusu ajira sijajua. hata mie natamani kujua cause nilipiga interview hiyo

Asante Mkuu hata mimi nilifanya interview nilikuwa namaanisha ajira.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…