mayayasilas
Member
- Jan 27, 2013
- 43
- 5
Jaman mm nimelipia ile 30,000 ya mkopo kupitia airtel money.
Sasa shida ambayo ipo ni katika ile transaction ID. Katika form za kujaza mikopo wanasema kwenye sehemu ya kujaza hyo tans ID wanataka tarakimu ziwe 9 tu lakini kwa airtel money zinazidi.
Kwa yeyote mwenye msaada kuhusu hili anisaidie jamani.
Sasa shida ambayo ipo ni katika ile transaction ID. Katika form za kujaza mikopo wanasema kwenye sehemu ya kujaza hyo tans ID wanataka tarakimu ziwe 9 tu lakini kwa airtel money zinazidi.
Kwa yeyote mwenye msaada kuhusu hili anisaidie jamani.