Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 67,062
- 173,749
Kuwa tajiri mbona simple tu na ni mipango ya mtu tu na saving abilities.Mnataka mwanamke mmoja awe mzuri wa sura na umbo, mcha Mungu, mpole, muaminifu, mvumilivu na mnyenyekevu, mwenye akili ya maisha na anayeweza kuishi na watu vizuri je mwanaume mmoja anaweza kuwa na sifa zote hizo? Hapo kwenye uzuri wa sura na umbo tutoe kwa mwanaume tuweke utajiri je mwanaume mmoja anaweza kuwa na sifa zote hizo?
Shida ni kwamba pia mnataka mwanaume mmoja awe mtafutaji, awe na muda na wewe, akutoe outing, akumbato vizuri hadi juu mawinguni, apige deki na kukuoshea vyombo,awe yaya wa watoto,awe tall na HB, awe fundi wa vitasa na mabomba nyumbani...the list goes on!
Wewe sifa zote tunazotaka utazihimili pia?