Shida na Tatuzi katika Gari Thread

AutoGuru

Member
Aug 10, 2023
33
68
01: Misfire

Hii inatokea kwenye magari mengi kwa sababu mbalimbali.

Kabla hujafungulishwa engine ukapigwa mpunga mrefu kwasababu ya changamoto hii jiridhishe kwanza kwa kufanya diagnostics na kukagua kwa msaada wa fundi mwaminifu kwenye vipengele tajwa hapa chini.

I. Mass Air_flow sensor. (MAF sensor) kama inatuma taarifa sahii kweye mfumo wa computer ya gari lako

II. Oxygen sensor(Iwe moja au mbili) zote kama pia zinatuma taarifa sahihi.

III. Catalytic converter. Kama imejaa masizi pia huleta changamo kama hio.

IV. Timing belt au chain kama pia haiko poa changamoto zitakuepo za kutosha.

Vingine kama plug, injector, throttle, coil etc hua weng wanakagua kwa sehem nimepita.

Kama hutakagua kila ktu kwa umakini hasa kwa magar yenye Modules nyingi utashusha sana engine badae tunaanza undergrade brands za watu. Na shida na ya fundi na ubahili wetu

Mafundi wapo je unaweza kuwalipa, haya unagarilako lenye ECU za kutosha unabadili components(i.e battery) kwenye gari hau ziregister na kuriprogram ECU nipo paleee kikitoboa ulichoweka kipya.
 
01: Misfire

Hii inatokea kwenye magari mengi kwa sababu mbalimbali.

Kabla hujafungulishwa engine ukapigwa mpunga mrefu kwasababu ya changamoto hii jiridhishe kwanza kwa kufanya diagnostics na kukagua kwa msaada wa fundi mwaminifu kwenye vipengele tajwa hapa chini.

I. Mass Air_flow sensor. (MAF sensor) kama inatuma taarifa sahii kweye mfumo wa computer ya gari lako

II. Oxygen sensor(Iwe moja au mbili) zote kama pia zinatuma taarifa sahihi.

III. Catalytic converter. Kama imejaa masizi pia huleta changamo kama hio.

IV. Timing belt au chain kama pia haiko poa changamoto zitakuepo za kutosha.

Vingine kama plug, injector, throttle, coil etc hua weng wanakagua kwa sehem nimepita.

Kama hutakagua kila ktu kwa umakini hasa kwa magar yenye Modules nyingi utashusha sana engine badae tunaanza undergrade brands za watu. Na shida na ya fundi na ubahili wetu

Mafundi wapo je unaweza kuwalipa, haya unagarilako lenye ECU za kutosha unabadili components(i.e battery) kwenye gari hau ziregister na kuriprogram ECU nipo paleee kikitoboa ulichoweka kipya.
Alhamisi nilikutana na Toyota Fielder 2012

ina check engine na code ni P0171 System is too lean.

Gari inabehave kama ina leakage ila Haina leakage yoyote na MAF inasoma around 0.8g/s to 0.9g/s. Kikawaida at 650rpm to 700rpm huwa inakuwa 2g/s na kuendelea.

Kutoa air cleaner tukaona ilianza kuliwa na panya na zile takataka zake tukaja kuzikuta zingine kwenye maf.

Kuclean na kurudishia ikasogea mpaka 1.6g/s. Na check engine haijawaka tena.
 
II. TAA ZA KWENYE DASHBOARD

1. Battery Light:
Taa hii inaashiria kuwa kuna tatizo kwenye mfumo wa betri. Inaweza kuwa ishara ya betri dhaifu, alternator isiyofanya kazi vizuri, au matatizo mengine ya umeme

2. Oil Pressure Light: Taa hii inaweza kumaanisha shinikizo la mafuta katika injini limepungua. Inaweza kusababishwa na kiwango cha chini cha mafuta au matatizo ya mfumo wa mafuta. Kupuuza ishara hii inaweza kusababisha uharibifu wa injini.

3. Coolant Temperature Warning Light: Taa hii inaashiria kuwa joto la injini limepanda sana au kuna matatizo katika mfumo wa joto. Inaweza kusababishwa na upungufu wa maji baridi, thermostat isiyofanya kazi, au matatizo mengine ya joto.

4. Power Steering Warning Light: Taa hii inaashiria matatizo katika mfumo wa usukani (power steering). Inaweza kumaanisha kuwa kiwango cha mafuta ya usukani ni kidogo, au kuna matatizo ya umeme katika mfumo wa usukani.

5. Glow Plug Indicator (Diesel Engines): Kwa injini za dizeli, taa hii inaonyesha kuwa "glow plugs" zinahitaji kufanya kazi kabla ya kuanza gari. Ni muhimu hasa katika hali baridi ili kuwasha mchanganyiko wa hewa na mafuta.

6. Engine Overheating Warning Light: Hii ni taa ya onyo inayoashiria kuwa joto la injini limepanda sana na inaweza kuwa karibu kuharibika. Inahitaji hatua za haraka ili kuzuia uharibifu wa injini.

N. K

LENGO WALA SIO KUJUA AINA ZA TAA NA MAANA ZAKE LENGO NI MDA WA KUTATUA CHUNGA SANA FUNDI ASI CLEAR CODE/FAULTY KABLA HAJAJUA SHIDA NINI / KUTATUA TATIZO, HUO NI WIZI KAMA WIZI MWINGINE.

MARA NYINGI TAA NYINGI HAPO HUELEZEA ENEO LA FAULTY AU FAULTY HIO INAPELEKA MADHARA WAPI.

NDIO MAANA KUNA UMUHIMU WA KUCHECK MAGARI YETU MARA KWA MARA, HATA KAMA HUONI SHIDA.

NA ALIE LETA MAANA YA CAR SERVICE TZ NI KUMWAGA OIL, KUBADILI OIL FILTER, FUEL FILTER , NA KUSAFISHA AIRFILTER . au bas tu.
 
Alhamisi nilikutana na Toyota Fielder 2012

ina check engine na code ni P0171 System is too lean.

Gari inabehave kama ina leakage ila Haina leakage yoyote na MAF inasoma around 0.8g/s to 0.9g/s. Kikawaida at 650rpm to 700rpm huwa inakuwa 2g/s na kuendelea.

Kutoa air cleaner tukaona ilianza kuliwa na panya na zile takataka zake tukaja kuzikuta zingine kwenye maf.

Kuclean na kurudishia ikasogea mpaka 1.6g/s. Na check engine haijawaka tena.
Jumba lako unafuga panya
 
Back
Top Bottom