OMOYOGWANE
JF-Expert Member
- Dec 30, 2016
- 3,628
- 9,175
Siamini kama ndugu yangu tuliyekuwa naye pamoja tangu utotoni leo hii kawa tapeli, na muhanga ni mimi mwenyewe (kanitapeli)
Nimewaza sana nikaamua nimuache tu.
Aliyesema usimuamini mtu yeyote hata kama ni mama yako mzazi, wakuu alikuwa sahihi kwa asilimia 100% ,
Napenda kuwapa ushauri wakuu
Zama hizi usimtume mtu akununulie mzigo wa biashara au akuuzie wakati huo wewe ukiwa mbali mfano mkoa mwingine, nenda wewe mwenyewe kanunue mzigo.
Anayesikia na asikie asiyetaka aache
Yamenikuta
Nimewaza sana nikaamua nimuache tu.
Aliyesema usimuamini mtu yeyote hata kama ni mama yako mzazi, wakuu alikuwa sahihi kwa asilimia 100% ,
Napenda kuwapa ushauri wakuu
Zama hizi usimtume mtu akununulie mzigo wa biashara au akuuzie wakati huo wewe ukiwa mbali mfano mkoa mwingine, nenda wewe mwenyewe kanunue mzigo.
Anayesikia na asikie asiyetaka aache
Yamenikuta