yaani hii inauma sana. jamani watz tuamke hii nchi inaliwa visivyo, hao wamama hivi kweli hapo wako hospitali kweli, daktari gani atakaa hapo kuzalisha hao wamama jamani, si wangebaki wajifungulie home tu kuna tofauti gani hapo. hapo na hela ya wembe wanalipia wenyewe, wembe yaan, wembe na vikorombwezo vingine. na hao ndo wanaoipa kura zaidi ccm, watu wa vijijini ndo wanatoa zaidi kura ccm. Mungu awasaidie jamani jamaniiiiiiiiiiiii, just imagine your wife anasubiri kujifungua kwenye mazingira kama hayo, na ana imani tosha kuwa yuko mahali salamaaaa. inauma sana.