Nimezipata kutoka ndani ya CHADEMA, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya CHADEMA baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bwana Shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya Zitto Kabwe
nimezipata kutoka ndani ya chadema, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya chadema baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bw shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya zitto kabwe
Huyo lazima aungwe mkono na kambi ya kibaraka mwenzake zito. lengo la hawa watu wawili ni kutimiza utabiri wa wasira wa CDM kusambaratika kabla ya 2015.
nimezipata kutoka ndani ya chadema, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya chadema baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bw shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya zitto kabwe
nimezipata kutoka ndani ya chadema, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya chadema baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bw shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya zitto kabwe
nimezipata kutoka ndani ya chadema, sasa kuna mtafaruku unaendelea ndani ya chadema baada ya mkakati wa mbunge wa maswa bw shibuda kutaka kugombea uenyekiti akipigiwa kampeni na kambi ya zitto kabwe
Mtafaruku wa uenyekiti?
Kweli CCM hamuishi kuiota CHADEMA!
Ebu kwenda kwa chama chako na kuondoa boriti jichoni!
Eliah G Kamwela says sorry for this very kilazaful post!
mlolongo wa waliotumwa chadema wakizani itaangamia ni pamoja na john shibuda,na vijana wake anawajua kazi yao huwa ni kuumba migogoro tu waongo wanafiki na wanachotazama ni namna gani mgogoro uwin basi
Shibuda si ndo alitangaza nia yake hiyo ktk Halmashauri kuu ya CCM Na akamwomba JK awe meneja wa kampeni yake? Huyu strategy zake ni kali. Binafsi naomba nafasi ya kuwa msaidizi wa JK, yaani naibu kampeni meneja wa Rais siyo mchezo. Hii timu yetu itakuwa kali.