Mu-Israeli
JF-Expert Member
- Mar 21, 2012
- 2,454
- 975
- Thread starter
- #21
tunataka mafao yetu, suala la kusubir mpk retirement age 55-60 ni jambo sio muafaka kwa watz wa sasa ukizingatia our Tanzanian's life expectancy ni miaka 51 kwa wanaume na 54 kwa wanawake( source indexmundi-CIA) wanasiasa zingatieni hili
Mpaka ufikie umri huo wa miaka 55, jamaa watabadilisha tena sheria ya SSRA, na kusema kuwa umri wa kustaafu umeongezwa mpaka miaka 65.
Hapo ndipo watu watakapojua kuwa hakuna mafao wala pensheni, ila ni kudanganyana tu.