Sheria ya kuoa single mama...

Sheria ya kuoa single mama...

3-phase

Member
Joined
Jun 3, 2020
Posts
13
Reaction score
9
Ni tumaini langu kwamba wana JF mtakuwa mpo swalaama, hata mimi new member humu ndani ila ni new member kiusajili tu, naweza sema sababu nimekuwa mfuatiliaji mzuri sana wa threads za JF toka enzi za kina Nyani Ngabu, King'ati, General Garadudu etc.

Lets go on topic, nimeona thread nying sana za kumpiga vita Single Mother ila nikafanya kareseach fulani hivi street nikagundua wengi ambao wapo na hiyo attitude ni vijana ambao bado hawajao na hawafahamu nini maana ya ndoa.

Sasa ni hivi zifuatazo ni njia sahihi kabisa za kuweza kuishi na single mama bila hata stress za aina yeyote basically katika swala zima la kuwa na mahusiano ya kimapenzi na baba mtoto.

1: Muombe huyo mwanamke mtoto akaishi kwa bibi yake halafu huduma zote atazipata akiwa huko. Ikishindikana;

2: Muishi naye pamoja huyo mtoto lakini huduma zote ziwe juu yako (baba mlezi) i.e yaan hata simu ya baba mzazi ianze kupitia kwako kwanza.

Naombeni kuwasilisha na mwenye nyingne zaidi aongzee. Msistizo mimi new member so kama kuna mistake yeyote I have done msamaha wenu uchukue nafasi. About typing error that is not easy, kikubwa content.
 
Sheria ya 3: andika kiswahili sanifu, maneno yanayoeleweka, la sivyo akiandikiwa ujumbe wa simu na mzazi mwenzie kwa lugha iliyonyooka watakumbushia
ahhahha sawa
 
vp jombaa asubuhi hii umewahi kutupia kabla bando halijachacha!
 
Wana jf wa miaka hii bhana....km hujaelewa unatulia,
 
Si bora usimuoe.
We unajisikiaje mkeo akikuwekea hayo masharti kwa mtoto wako uliyempata na mwanamke mwingine
 
Mi nikajua kuna sheria mpya ya kuoa singo mama imetolewa bungeni,kumbe umeandika vitu visivyoeleweka
 
Back
Top Bottom