Son of Africa
JF-Expert Member
- Jan 16, 2011
- 233
- 31
Sheria ya kugombea ubunge kuanzia mwaka 2015 irejewe? Kwamba bila qualifications zifuatazo iwe stop?
1. Sharti uwe na shahada moja yoyote
2. Usiwe na uraia wa kuandikishwa?
3. Usiwe na Account yoyote nje ya nchi?
4. Uthibitike hujawahi kutuhumiwa na umma kuhusika na biashara yoyote serikalini i.e kupewa zabuni ktk biashara baina yako na serikali kwani ndo mwanya wa ufisadi.
KAZI NI KWENU
1. Sharti uwe na shahada moja yoyote
2. Usiwe na uraia wa kuandikishwa?
3. Usiwe na Account yoyote nje ya nchi?
4. Uthibitike hujawahi kutuhumiwa na umma kuhusika na biashara yoyote serikalini i.e kupewa zabuni ktk biashara baina yako na serikali kwani ndo mwanya wa ufisadi.
KAZI NI KWENU