Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Ninajaribu kuwaza siku tuliyopata Uhuru Mwenge uliwekwa juu ya Mlima Kilimanjaro na kuitwa Mwenge wa Uhuru.
Naamini huo ndio uhusiano uliopo kati ya Mwenge na Uhuru toka imeingia Awamu ya Tano sherehe za Uhuru zimekuwa zinahairishwa kwa madai ya kupeleka fedha zilizotengwa kwenye miradi ya maendeleo
Lakini katika hali ya kushangaza mbio za mwenge ambazo nao zina fedha zake zimekuwa zinafanyika.
Mimi ilitarajia kwa kuwa hivi vitu viwili Mwenge na Uhuru vina uhusiano mkubwa basi hata mbio za mwenge fedha zake zingeelekezwa kwenye miradi ya maendeleo badala ya kuzitumia kukimbiza Mwenge