Sherehe za Uhuru wa Tanganyika

Sherehe za Uhuru wa Tanganyika

kachumbari

Senior Member
Joined
Nov 1, 2010
Posts
126
Reaction score
9
Wandugu kuna tangazo limetolewa na ofisi ya waziri mkuu linaonyeshwa kwa Runinga kutoa taarifa kuwa trh 9/Dec ni siku ya kuadhimisha kupatikana UHURU wa TANZANIA BARA,Ninaomba ofisi husika irekebishe hilo tangazo na kuweka nchi sahihi kwani uhuru kutoka kwa wakoloni ulipewaTANGANYIKA.
 
Back
Top Bottom