Sherehe za miaka 47 ya Muungano

Sherehe za miaka 47 ya Muungano

Keykey

JF-Expert Member
Joined
Dec 1, 2006
Posts
3,251
Reaction score
750
Sherehe imeanza, TBC1 wanatangaza 'LIVE' viongozi ndio wanaingia uwanjani.
 
Sasa hivi ameinia Mzee Rukhsa,
mapema aliingia Maalim Seif na kupokelewa kwa salute.
 
Tutaona kama kweli watamsusia JK maana ni uuupuuzi kufanya hivyo!kama wanna lao waseme wazi maana hakuna ubabe wa kuwaburuza tena
 
Tutaona kama kweli watamsusia JK maana ni uuupuuzi kufanya hivyo!kama wanna lao waseme wazi maana hakuna ubabe wa kuwaburuza tena


TANGANYIKA TANGANYIKA TANGANYIKA ndio wanaotuburuza.

Iko siku iko siku iko siku
 
Vijana wa Halaiki wamependeza sana!
 
ccm itanunua mamluki kibao, we umesahau kwenye kampeni mabasi yalivokuwa yanasafiri tanga kwenda arusha kupeleka mamluki ili mikutano ionekane imejaa
 
Tutaona kama kweli watamsusia JK maana ni uuupuuzi kufanya hivyo!kama wanna lao waseme wazi maana hakuna ubabe wa kuwaburuza tena

Ndugu S4E, hayo yanawezekana Bungeni watu wanafanya vikao vya siri na kulishana viapo! usiyategemee hapa uwanjani
 
Uwanjani kukoje? Yaani wananchi wamejitokeza kwa wingi au waliopo ni kama mafungu ya manyasi ktk uwanja wa kwata?
 
Vp makamanda Mbowe (KUB) na wengne cjawaona au hawahusik knye muungano
 
Back
Top Bottom