Sherehe ya ushindi mkubwa wa CHADEMA Bukoba

Sherehe ya ushindi mkubwa wa CHADEMA Bukoba

lovey62

Senior Member
Joined
Apr 13, 2013
Posts
132
Reaction score
112
Habari ya Jioni Ndugu Watanzania,
Nichukue fursa hii dhahabu kuwakaribisha katika
Sherehe ya Kujipongeza kwa wanabukoba kwa
ushindi wa kishindo (67%) wa uchaguzi Serikali za
mitaa kupitia CHADEMA.
sherehe itafanyikia katika Kisiwa cha NYABESIGA
(Pemba Ndogo) tarehe 3 Januari 2015(saa 3:30
asubuhi/9:30am) mpaka tarehe 4 Januari 2015
Asubuhi.
sherehe hii inawakaribisha watanzania wote na
hasa wa Kanda ya Ziwa wanaochochea gurudumu
la maendeleo.
usafiri utakuwepo (bila gharama kwenda na
kurudi) ikiwa Wavuvi wamejitolea boati zao
kutumika.
Pia,Viongozi mbalimbali wa CHADEMA Taifa
watakuwepo bila kukosa; Wilfred
Lwakatare 'Engaju ya Bukoba'.
KARIBUNI SANA TULISUKUME GURUDUMU LA
MABADILIKO BUKOBA KUPITIA CHADEMA.
Peopleeeeeeeees!
 
mkuu hicho kisiwa kiko kwa wapi nipe maelekezo vizuri
hapa niko.kemondo
 
hiyo Pemba ndogo ni maeneo gana mkuu na mid niwajoin kabla sijaondoka kurudi kibaruani?
 
Na vingine tena ccm wamepokwa na ADC huko mara,Tamisemi wamegoma kutangaza
 
Makamanda,ni kisiwa maarufu sana..mkiulizia tu,mtaelekezwa. karibuni sana
 
Nawatakia kila la heri ila muwe makini maana watu wamenyanganywa tonge mdomoni mfumo wenu wa usalama uwe zaidi ya imara na siwashauri kufika usiku rudini mapema.

Habari ya Jioni Ndugu Watanzania,
Nichukue fursa hii dhahabu kuwakaribisha katika
Sherehe ya Kujipongeza kwa wanabukoba kwa
ushindi wa kishindo (67%) wa uchaguzi Serikali za
mitaa kupitia CHADEMA.
sherehe itafanyikia katika Kisiwa cha NYABESIGA
(Pemba Ndogo) tarehe 3 Januari 2015(saa 3:30
asubuhi/9:30am) mpaka tarehe 4 Januari 2015
Asubuhi.
sherehe hii inawakaribisha watanzania wote na
hasa wa Kanda ya Ziwa wanaochochea gurudumu
la maendeleo.
usafiri utakuwepo (bila gharama kwenda na
kurudi) ikiwa Wavuvi wamejitolea boati zao
kutumika.
Pia,Viongozi mbalimbali wa CHADEMA Taifa
watakuwepo bila kukosa; Wilfred
Lwakatare 'Engaju ya Bukoba'.
KARIBUNI SANA TULISUKUME GURUDUMU LA
MABADILIKO BUKOBA KUPITIA CHADEMA.
Peopleeeeeeeees!
 
Furaha ni dalili nzuri sana ya kuishi muda mrefu. na sisi huku Dar- Kimara tuna raha kweli mitaa mitano kati ya sita katika kata moja
 
Furaha ni dalili nzuri sana ya kuishi muda mrefu. na sisi huku Dar- Kimara tuna raha kweli mitaa mitano kati ya sita katika kata moja

sherehe lini? 2fanye kama wao,inabidi diwani aambiwe.ni zawadi kapewa na wananch wa mavurunza.
 
sherehe lini? 2fanye kama wao,inabidi diwani aambiwe.ni zawadi kapewa na wananch wa mavurunza.

Yetu tunefanya leo.....tulishinda halmashauri, viti maalum na vitogoji 4 wao wakachukua m/kijiji na vitogoji 4 kwa gharama kubwa sana. Tunaandaa pongezi nyingine kwa waliotupigia kura vijiji vingine hata kama hatukushinda/waliiba kura hama walipita bila kupingwa.
 
Naomba mzingatie sana ushauri wa "Msulibasi" hapo juu, usalama wenu ni wa muhimu sana, shetani_ccm hawataacha kujihudhurisha hapo na mabomu yakujitoa mhanga
 
Kila la kheri makamanda tunawatakia sherehe njema na Mungu yu pamoja nanyi kwa kila hatua
 
Mgeni rasmi ni nani au Josephine Mushumbuzi hawara wa babu?
 
Back
Top Bottom