shepu ya uchokozi

Hicho kiuno kweliii auuu kajiedit!!!!!!hhhhhaa
 
Najua hukuwa mkweli hata hiyo nyumba huna una ishi uswahilini umepanga chumba kimoja choo kipo njee

Bora mie niliepanga uswazi kwa jasho langu, kuliko weye unayelelewa kwa mama yako uzunguni. Pumbafffff zakooo na hizi tabia
za kufuatilia maisha ya wanaume ukome utajapata mimba isiyo na mwenyewe, tushakushtukia unatafuta wa kukukuna, huku humpati mtu nenda ukaegeshe kule buguruni.
 
Wanaume, angalieni huo uchu wenu siku moja utakuja kuwaangamiza!!! Haya furahieni na picha hii hapa chini:

Hayo mambo siku hizi sio wanaume tu, mpaka kinamama wanayatamani. Kuna wadada wamewajengea nyumba wadada wenzao.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…