I think internet is hard for these Tz guys to come to terms with otherwise how do you explain the prevalence of this notion that kenyans should go to their forums IN almost every thread hapa JF?
Mdosi haya mwingine aendeleeni karau na si karaa
SMATTA MTU NGUYA!!!!!! kulost nayo?!!! tokezeanga matime ugoteange wadhii.
nways, back to it. this is sheng ya eastlands. kama wewe si msee wa jogoo rodi you prolly never heard of this
mtasis - dada
njuleshon(watu maringo jeri na salem use that word)/ndula - kiatu
hakuna mbrrrcha - hamna noma
sare - free but it can also mean leave it alone/let it be
nikundias/nikundilala - its dangerous
mambo fyam - mambo kali
rwada - piga/ kurwadwa - kuchapwa
nare - kiberiti or kali
janta - job
ngataa(notice the double"a") - petro/fuel
maaaaann i can go on all day.
Niaje kibronje, ma area siku hizi ulichorea nini? sikucheki hii site siku hizi. Napandisia hizi ma mwere pahaz. baaden bro
buda.....i think i outgrew the site....i still pass through time to time post a thing or two but i got no energy for the back and forth.
plus koborer and koba(vijana mambo mbaya) took over from us and are holding down the fort just fine.....me and you graduated from the trenches to grandfather status.
vajoo= bikiraMabudaa
mkoaje? nimemiss hizo toungue za naii.....machalii na mamanzi hebu mchoree hizo word mob za street! Me hupenda vile maderee wa matt na machali wa street hubonga!
tao = city center
makaraa= polisi
trao = trouser
jineri = jeans
msupuu= mzuri/beautiful
veve = miraa
mtoi = kid
soo = 100 kshs
kukatia = kutongoza
sasa = hi/hello
Endelezeni....
Buda ni nini..? kuna jmaa wa huko anapenda kusema "niaje buda..."
Manze, juzi nilitoka tao na dem wangu kwa ndai yangu. Sa baadaye kujaribu kufinya clutch hivi nikacheki hii njum chini ya kiti yangu. Nikapima saa zile dem hanicheki, nikaidaka hiyo njum na kuitupa nje ya window ya ndai.
Sa kufika home nikamcheki manzi anasakanya kitu vinoma kwa floor ya ndai, nikamuask, 'kwani what's up darl?' Akaniangalia ni kama kuna noma flani. 'Babe', akanishow 'njum yangu ya mine moja iko wapi?'
Damn! Nilikuwa nafkiri hiyo njuti ilikuwa ya chips funga tulipatana nayeye hiyo jana huko Simmers club!
Hii storo si vako mazee, jana tulimkuta huyu kibuda amelala nje ya place ninaduyia works. Ni ka alikuwa amelala hapo for long tangu ngware, manze na hiyo njeve yote!
Sa tukamuamsha na kumuask kama ako msick. Kitu ya kwanza yeye ali-do, alianza kushikashika mifuko za trao na koti zote, akatuuliza,'yule dem nilikuwa nayeye mumecheki place ame-go? Tukamshow sisi hatukumcheki na msee yeyote.
Huyo buda, anakaa 55 hivi akaanza kulia mazee! "Nangos yangu ya thao kumi, dough zangu thao fifty, wallet yangu, kila kitu, mazee nimeporwa, mnihelp tu waseiya!"
Tukashindwa, sasa tu-do what?
Kuuliza uliza ndo tukajua kumbe huyu mdhii alikuwa anatoka huko Muranga, alikam Nai kuchukua bonus yake ya chai.
Sa alipatana na apoko flani K-street, vile alikuwa na mahanjamz.
Inakaa alimdrug vile alijua ana dough mobb na kumsanyia kila kitu. Sasa atambiaje wifey?
Manze, unafaa kuwa rada ka uko hapa mtaani. Hao mamresh wa Nai, sana sana hao wa Koinange wanaeza kumess vinoma. Sana sana wakikucheki unakaa mshadhe ivi ivi!