Travis samwel
JF-Expert Member
- Apr 25, 2013
- 215
- 42
Duuuh kweli watu duuu hahahahaha haya nadadavua hivi.....mkeo anamchepuko unaitwa Juma....na umejua japo hauna vidhibiti vyote umejua kwabkuona mawasiliano yao...kumbe na dada yake anamjua Juma...
Siku mmetoka out na dada wa mkeo pamoja na mkeo sasa dada wa mkeo akawa anasimulia kuhusu Juma anamsimulia mkeo na anamuuliza watamsaidiaje???sasa ungekua wewe ndo mwenye mke ungechukua maamuzi gani.....kama hamjaelewa hapo duuh basi tena
ASSUME mimi ni EVA nina mume wangu JOHN ,mume wangu ana kaka yake aitwaye EDGAR. EDGAR ana tabia ya kutunziana siri na mdogo wake (JOHN) kiasi kwamba anamjua mwanamke(tumuite JOYCE) anayetembea na Mume wangu JOHN. JOHN hukataa kuwa ana mahusiano na JOYCE japo nilishawahi kuhisi uhusiano wa JOYCE na Mume wangu JOHN ,ila mume wangu hubisha na mimi uhakika sina . Siku moja tukiwa pamoja watatu , EDGAR akawa anamuhadithia mume wangu JOHN kuwa JOYCE amepata matatizo ya milioni tatu hivyo kama vipi JOHN amsaidie JOYCE. ndipo JOHN akaanza kumkanyaga EDGAR ili aache hiyo stori ila ushtuaji huo nikaushuhudia na EDGAR akahama mada ghafla kwa kusema kuwa '' aah unajua JOYCE ni rafiki yangu mimi(EDGAR)''
Nahisi ndicho anachomaanisha Mtoto Mpole. Mimi ni mwanaume ,nimeassume ni mwanamke ili ieleweke kwa urahisi ,ukitaka version ya mimi kuwa ke pia ipo
cjaelewa hapa hata kidogooo!!
Duuuh kweli watu duuu hahahahaha haya nadadavua hivi.....mkeo anamchepuko unaitwa Juma....na umejua japo hauna vidhibiti vyote umejua kwabkuona mawasiliano yao...kumbe na dada yake anamjua Juma...
Siku mmetoka out na dada wa mkeo pamoja na mkeo sasa dada wa mkeo akawa anasimulia kuhusu Juma anamsimulia mkeo na anamuuliza watamsaidiaje???sasa ungekua wewe ndo mwenye mke ungechukua maamuzi gani.....kama hamjaelewa hapo duuh basi tena
Ningetoa talaka.
Wewe ulifanyaje mtoto mpole.