Shemeji yenu ananiuliza kwanini waafrica mna tahiri? Sikumuelewa, kumbe Nimegundua 80% ya wazungu hawajatahiri

ndonger

JF-Expert Member
Jan 21, 2018
875
1,541
Wakuu nilikua sijui hilo jambo.

Shemej yenu katika stor za hapa na pale ananiuliza why nmetairiwa.

Nkashangaa..why ananiuliza hvyo..akanambia kwao wanaume hawatairiiwi

Nimeshangaa sana kwakwel...ikabidi ni gugo .kweli bana..nchi nying sana za Ulaya hawatairi...

Nmestaajabu kwel kwel dah.

Kwel tembea uone

 
1000081119.jpg

Hawa jamaa hawatairi... Angalia rangi ya blue... naona africa, australia na north america ndio wanakata govinda..
 
Wakuu nilikua sijui hilo jambo.

Shemej yenu katika stor za hapa na pale ananiuliza why nmetairiwa.

Nkashangaa..why ananiuliza hvyo..akanambia kwao wanaume hawatairiiwi

Nimeshangaa sana kwakwel...ikabidi ni gugo .kweli bana..nchi nying sana za ulaya hawatairi...

Nmestaajabu kwel kwel dah.

Kwel tembea uone

Unastaajabu nini, siyo utamaduni wao. Kutahiri ni utamaduni wa kiarabu na inahusiana na dini yao.......wazungu hawana utamaduni huo. Tatizo liko wapi? Ukitahiri what subtantantial gain do you acive on earth?
Na wewe you are most likely unatoka pwani......
 
Wakuu nilikua sijui hilo jambo.

Shemej yenu katika stor za hapa na pale ananiuliza why nmetairiwa.

Nkashangaa..why ananiuliza hvyo..akanambia kwao wanaume hawatairiiwi

Nimeshangaa sana kwakwel...ikabidi ni gugo .kweli bana..nchi nying sana za Ulaya hawatairi...

Nmestaajabu kwel kwel dah.

Kwel tembea uone

Govi ni uchafu
 
Unastaajabu nini, siyo utamaduni wao. Kutahiri ni utamaduni wa kiarabu na inahusiana na dini yao.......wazungu hawana utamaduni huo. Tatizo liko wapi? Ukitahiri what subtantantial gain do you acive on earth?
Na wewe you are most likely unatoka pwani......

Utamaduni wa wayahudi kupitia maelekezo ya mungu wao,waarabu wakaiga
 
Utamaduni wa wayahudi kupitia maelekezo ya mungu wao,waarabu wakaiga
Mungu mpuuzi huyo, yaani of all Wayahudi needs by those days aliona kutahiri ndiyo muhimu! Kwa hiyo Mungu ali pre occupied na kutombana/watu watatombanaje ! Mungu mpuuzi kabisa huyo bladi faken
 
Mademu wa SA wanapenda Sana wabongo kwa sababu ya mashine zetu zilizotairiwa, kule wazawa wengi wana magovi ukiona wanacheza amapiano jua tu magovi wanacheza.
Utakuwa mtu wa pwani! Pwani priority ni hiyo! Nakumbuka mzee moja anastaafu alikuwa jirani yangu. Ana kijana wake akamuacha kwangu anifanyie kazi. Kitu alichokikumbuka kikubwa na kumtahiri. He was around 11 yrs but with no any formal schooling! Alikumbuka kumtahiri.....ndicho alichoona cha msingi.
That was not my priority. Nikamuweka MEMKWA, huyoooooooooooooooooo na sasa ni accountant. .
 
Hasa wajerumani hawatahiri watoto.

Ukiwa mwafrika na upo Germany unahitaji mwanao afanyiwe tohara ni mpaka utafute madaktari wa kiafrika wenye utaalamu huu.

Madaktari wengi wazungu hawawezi kutahiri.
 
Back
Top Bottom