Snow,kilichopo nyuma ya pazia ni kuwa huenda amekatazwa kwenda pande hizo alone.Lakini kumbuka tunaasume tu!!
Kwa mtazamo wangu ni kuwa hata bila ya huyu shemeji kukusihi; sidhani kama ni busara kumsemea; na najua wewe unalijua hilo.
silent is the answer.
in case wakalipuana huko shauri zao
hiyo msg usiifute unaweza geuziwa kibao wewe ndio ulikuwa nae itakusaidia kama evidence
Sasa wakilipuana akaionyesha hio msg kama ushahidi huoni kuwa rafiki yake hatamwelewa?? kama kweli ni rafiki wa kweli na hakuhusika katka hilo si ataulizwa kuwa "mbona hukuniambia??" je atajibu nini???
Kwangu mimi hakuna kigugumizi,eleza kila ulichokiona hadi ujumbe ulotumiwa!!! "Ukweli utakuweka huru daima"
mko serious ama?
are you guys married?
yaani from no where hujaulizwa ukurupuke kumsemea mke warafikio kwa mume wake ili uwe huru.
afu utafaidika nini wakiamua kutengana?
kama hakuna uliloulizwa ni heri kukaa kimya kulinda ndoa na sio kusema ili uwe huru.
kwa mtu mwenye busara ataelewa kwanini umekaa kimya na hatakulaumu atajua lengo lako ni kutokuwaharibia ndoa yao
nadhani nyie bado hamjaoa ndio maana mnadhani bora kuwasemea
labda alishakatazwa kwenda mahala kama hapo akiwa pekee au pamoja na marafiki so anaogopa mwenzie kujua hilo piga kimya kama kuna lolote litatokea hapo baadae utajua nini cha kufanya
Sioni haja ya kuumauma maneno.Ni bora kusema ukweli tu! Kama hakuwa na nia mbaya kwa nini amnyamazishe shemej yake? No way,sema ukweli full stop!
Mdogo wangu SnowBall,
Hebu kuwa mtu mzima ...sitaki kuongea zaidi.
Kwani asingekutumia sms ungemweleza mume wake??
Kama hukuwa na mpango huo basi kaa kimya ila kama ulikuwa nao basi endelea na mpango wako....!!
Ni kweli kuna mashaka sana kuhusu hiyo caution ya shemeji yako ila hilo achana nalo kabisa unless unaelewa kila detail ya maisha yao ya ndani.Dark City nakuelewa mzazi..Nimefikiria njia zote ulizoziwaza na kama utafuatilia the main post utaona kwamba sijasema chochote mpaka sasa..What i am trying to do is to figure out the reasons as to why my shemeji didn't want me to disclose her info to her husb...Thank God kuwa kupitia baadhi ya hoja hapa nimegundua the way forward...