kabanga
Platinum Member
- Dec 12, 2011
- 37,580
- 18,952
Wapotezee tu....!mme wake mwenyewe tukikutana posta akiniona yuleeeee anakata kona anazuga
Wapotezee tu....!mme wake mwenyewe tukikutana posta akiniona yuleeeee anakata kona anazuga
"Sawa kabisa yule yuko kwenye Himaya ya mtu mwingine.. "We una bahati mbaya, mi nimeishi na dada mkubwa wa mke wangu kwa muda sasa. Kwa kweli anaheshima kuliko mdogo wake. Na anampenda mwanangu sana. Kwa ujumla sitaman aondoke kwangu coz mi natumia pombe mke wangu ana ulokole flan nikirud nimeshakunywa ni ngum hata kuniandalia chakula ila kwa shem anakuwa anajali sana. Ila kwa kuwa huyo shem wako kaolewa we achana naye hakuhusu kwa lolote huyo ni mke wa mtu.
Duc in Altum
Hahahaah eti maagizo kutoka juu....!!!maagizo kutoka juu.
swissme
Jamaa hajiamini.Kosa lako ni moja....
Hujasimama kama mwanaume
Na Hukuonyesha mipaka toka mwanzo
My shem bana...Mi nlifikiri anakutega umdonyoe
Miss u shem. NipoMy shem bana...
Upo lakini???
Maana umepotea kama coin ya sh 500
Mmh!We una bahati mbaya, mi nimeishi na dada mkubwa wa mke wangu kwa muda sasa. Kwa kweli anaheshima kuliko mdogo wake. Na anampenda mwanangu sana. Kwa ujumla sitaman aondoke kwangu coz mi natumia pombe mke wangu ana ulokole flan nikirud nimeshakunywa ni ngum hata kuniandalia chakula ila kwa shem anakuwa anajali sana. Ila kwa kuwa huyo shem wako kaolewa we achana naye hakuhusu kwa lolote huyo ni mke wa mtu.
Duc in Altum