Shemale unataka nini? Unikome!!

asante kwa elimu maana wananiona mshamba sana.
 
nawatamani sana hawa lesbo...kuna mmoja hapa mtaan kwetu hadi amefukuzwa shule walikutwa wanasagana chooni sio siri mwanaume nikaingia mitamboni nilipoibuka mtoto yu kiganjani nina wiki namrudisha taratibu kwenye hali ya kawaida u cant imagine alivyomzuri anaweza kufanya uchafu kama ule halafu kiumri bado mdogo ila nataka nimpe somo takatifu kwamba hizi kazi tumeumbiwa wanaume na migegedo yetu asilia
 
yamenikuta fb na humu pia ndo maana nimekuwa mkali sana naona wanazagaa ovyo.
They love you mm sioni tatizo sana kwa msichana na msichana kusagana kwasababu hapo akuna kitu wanachofanya zaidi ya kujisisimua tu na kuusu kuwa ni dhambi huo ni unafiki wa mwafrica asiye na dhambi na awe wa kwanza kuwatupia jiwe.ushauri usimchukie ila ongea nae kirafiki tu umweleweshe kuusu wewe ujisikii kufanya hivyo wakati huo huo utajifunza mengi kuusu huyo Dada hiyo ni faida kwako
 
Mmoja juzi shoga kanitongoza Instagram yani anakwambia ye tangu Mdogo anatamani kupakuliwa matope
Fb na instagram wapo wengi sana. Hawaepukiki lesbians, gays na shemales atakaebisha ni sawa tu aendelee kubisha lakini wapo.

Mwanamke ambae ni lesbian/shemale ukimjua hafai hata kumkaribisha nyumbani anaweza akawaharibu dada zako na mabinti.

USHAURI:
Serikali wangeweka button report ya kutoa taarifa moja kwa moja kwenye jeshi la polisi kutoka fb messenger au DM ya instagram ili waweze kuchukua hatua za kisheria.

asante kwa elimu maana wananiona mshamba sana.
 
Hawa viumbe ukisha jaribu kuacha ni shughuli pevu!

Wakiweza kumtongoza mke wako au mpenzi wako wakaenda kumsaga upo uwezekano wa 97% ya ndoa kuvunjika!

Unaambiwa utamu wanao upata wakati wa kusangana hamna mwanaume anaeweza kumfikisha mwanamke kwa hyo raha wanayo ipata!!
 
Hata kama huoni tatizo mkuu msichana na msichana kusagana lakini sio utamaduni wetu Tanzania, tuwaachie wazungu hakuna lazima ya kuiga kila kitu kutoka kwao.
 
Hata kama huoni tatizo mkuu msichana na msichana kusagana lakini sio utamaduni wetu Tanzania, tuwaachie wazungu hakuna lazima ya kuiga kila kitu kutoka kwao.
Nijibu utamaduni wetu ni upi .ila nikupe elimu kuwa utamaduni wa mwafrika ni unafiki ndo mana utasikia tunasema kuvaa nusu uchi si utamaduni wetu na huo ni unafiki wazungu wametuiga sisi waafrika kuvaa nusu uchi hata kucheza matiti nje ni utamaduni wetu leo utashangaa kusikia MTU mzima anaongea unafiki kuusu utamaduni
 
Sorry kuna member humu ndani ana ID ya habari ya hapa ndio huyo ?
 
Sawa nimekuelewa.
Sawa umeunga mkono usagaji. Je una unaunga mkono ushoga?
 
Sawa nimekuelewa.
Sawa umeunga mkono usagaji. Je una unaunga mkono ushoga?
Kabla ya kuniuliza ninaunga mkono ushoga ilibidi ujiulize ushoga chanzo chake utokea wapi kitu ninacho kiona kwako ni uwezo wa kiakili ulionao kuwa mdogo na akili iliyo fungwa na unafiki je yesu alipo mtetea mwanamke mzinzi alikuwa anaunga mkono uzinzi au la nijibu sasa nakujibu siungi mkono ushoga wala sipingi ushoga na siungi mkono usagaji wala sipingi usagaji sababu ni nyingi ila ya msingi ni mm kutokuwa mnafiki wengi wa mashoga tunao waona wamekuwa hiyo si kwakupenda bali wengi walitwezwa nguvu akalazimishwa kuwa hivyo mfano ikiwa mtt atafanyiwa hiyo baadae aliyekuwa anamfanyia akafungwa ujue bado uyo mtt atakuwa kesha pata ulemavu ataendelea kuwa hivyo ila jamii isiyo jua ikimwona utasikia ikimlani na kusema afungwe pasi na kujiuliza ilikuwaje ukonyuma hadi kawa shoga mfano unafiki wetu ni sidoma na gomora ukisoma kwa akili" mana kupo kusoma pasipo akili" utaona sodoma iliangamizwa kwa sababu ya mabasha na siyo mashoga ila ukibisha ilo jiulize wale malaika waliotumwa walitaka kufanyiwa nini kwanguvu hadi Ruth anawaambia watu wa sodoma ninao mabinti wafanyieni hayo myatakayo ila hawa wanaume wageni wangu msiwafanyie sasa kilicho wanusuru wasilawitiwe wale malaika ni nguvu za mungu je ungekuwa wewe upendi ushoga umeingia kwenye mikono ya watu mabasha zaidi ya elfu usinge geuka shoga na mke wao japo wewe ni kidume nivizuri kujifunza kwa kutumia akili
 
Hoja zako zote nimezielewa mkuu:
Uwezo wangu wa akili ni mkubwa tu usiwe na shaka nao, sio tu kwamba nina uwezo mdogo wa akili bali sina upungufu wowote wa akili. Namshukuru Mungu sana kwa hilo 'Alhamdulillah'

Usihisi nimekuuliza hilo swali kizembe, kuna kitu nilitaka kukijua mkuu kutoka kwako na nashukuru Mungu nimekifahamu (sijakitaja).

Msimamo wangu mimi siungi mkono basha, shoga, anaesagwa na msagaji kwa namna yoyote hata kama mtu kajiingiza kwenye ushoga na usagaji kwa bahati mbaya au maisha yalikuwa magumu. Mashoga na wasagaji hawakosi sababu.
 
Hata mm nimekuelewa ila tatizo tulilo nalo waafrica nikushindwa kugundua misingi ya tatizo na unafiki mfano kula tigo wanawake na kuliwa tigo ni sawa na ushoga na usagaji ila ilo atulioni kuwa ni tatizo linalo sababisha ushoga na ubasha hivi MTU akipenda kula tigo si ndiyo kesha kuwa basha atashindwa nini kumgeuza mwanaume mwenzake na basha ndiyo mzalishaji wa mashoga
 
Elimu ya bure """ akuna akili mbovu kuzidi hii ya kuichukia dhambi kuzidi mungu anavyoichukia na hii akili usababishwa na mambo matatu chuki ubinafsi na unafiki na hiyo nisawa na kumpanda mungu kichwani .kuna watu waliwaambia wenzao kuwa dhambi walizotenda mungu awezi wasamehe mungu akawakemea kwa maneno hayo kwa sababu huko ni kumpanda mungu kichwani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…