Unaowazungumzia ni lesbians ndo anaweza kupata mimba. Mtoa mada anazungumzia shemale hawa wana mashine kabisa km ya mwanaume hawawezi kupata mimba.
Nikirudi kwenye mada: Kumkubalia Mwanamke mwenzio kukutoshelezea matamanio ni kujiharibia maisha yako tu sababu wewe kila ukiona mwanamke mwenzio ndo unamtamani na kitendo ni cha aibu sana kwenye jamii ndo maana wanajificha.
Wasagaji na mashoga wote ni sawa sababu wanafanya mapenzi ya jinsia moja, wakianza hiyo michezo basi ni vigumu sana kuacha.
They love you mm sioni tatizo sana kwa msichana na msichana kusagana kwasababu hapo akuna kitu wanachofanya zaidi ya kujisisimua tu na kuusu kuwa ni dhambi huo ni unafiki wa mwafrica asiye na dhambi na awe wa kwanza kuwatupia jiwe.ushauri usimchukie ila ongea nae kirafiki tu umweleweshe kuusu wewe ujisikii kufanya hivyo wakati huo huo utajifunza mengi kuusu huyo Dada hiyo ni faida kwakoyamenikuta fb na humu pia ndo maana nimekuwa mkali sana naona wanazagaa ovyo.
Fb na instagram wapo wengi sana. Hawaepukiki lesbians, gays na shemales atakaebisha ni sawa tu aendelee kubisha lakini wapo.Mmoja juzi shoga kanitongoza Instagram yani anakwambia ye tangu Mdogo anatamani kupakuliwa matope
asante kwa elimu maana wananiona mshamba sana.
Hata kama huoni tatizo mkuu msichana na msichana kusagana lakini sio utamaduni wetu Tanzania, tuwaachie wazungu hakuna lazima ya kuiga kila kitu kutoka kwao.They love you mm sioni tatizo sana kwa msichana na msichana kusagana kwasababu hapo akuna kitu wanachofanya zaidi ya kujisisimua tu na kuusu kuwa ni dhambi huo ni unafiki wa mwafrica asiye na dhambi na awe wa kwanza kuwatupia jiwe.ushauri usimchukie ila ongea nae kirafiki tu umweleweshe kuusu wewe ujisikii kufanya hivyo wakati huo huo utajifunza mengi kuusu huyo Dada hiyo ni faida kwako
ukitajiwa pesa uolewe utakubali?Hii ni habar ya KWELI au mnatuzuga??? Nimeona MTU ukimtajia neno PESA hata kama alikuwa na msimamo vipi analegeza
Nijibu utamaduni wetu ni upi .ila nikupe elimu kuwa utamaduni wa mwafrika ni unafiki ndo mana utasikia tunasema kuvaa nusu uchi si utamaduni wetu na huo ni unafiki wazungu wametuiga sisi waafrika kuvaa nusu uchi hata kucheza matiti nje ni utamaduni wetu leo utashangaa kusikia MTU mzima anaongea unafiki kuusu utamaduniHata kama huoni tatizo mkuu msichana na msichana kusagana lakini sio utamaduni wetu Tanzania, tuwaachie wazungu hakuna lazima ya kuiga kila kitu kutoka kwao.
Sorry kuna member humu ndani ana ID ya habari ya hapa ndio huyo ?habari ya hapa!!!!!!
naomba ufahamu kuwa sipendi tabia ya ushoga / usagaji. habari ya kutaka kunitumia kadi ya benki na mirathi uliyoachiwa na wazazi wako ili nikutunzie mpaka utoke huko nnchi za watu sihitaji nilishakuambia usagaji sitaki am a girl and not boy! mitego yako nimeitambua kama ni uhaba wa hela matunzo yaliyopo yananitosha........ na sijui nani kakwambia upekue maprofl ya watu fb na kuondoka na namba za watu huku hata huwajui unaanza kumtongoza mtu japo unaambiwa mimi ni KE mwenzio wew unakomalia haina tabu umezoea ooh kama nataka hela utanikabidhi kikadi cha benki jamani!!!!!! pia wale walionijaribu hapo zamani huko PM baada ya kuniona kimya saivi mmeibuka tena...
nasema ivi (msisitizo) shemale mnikomeeeeeeee.
Sawa nimekuelewa.Nijibu utamaduni wetu ni upi .ila nikupe elimu kuwa utamaduni wa mwafrika ni unafiki ndo mana utasikia tunasema kuvaa nusu uchi si utamaduni wetu na huo ni unafiki wazungu wametuiga sisi waafrika kuvaa nusu uchi hata kucheza matiti nje ni utamaduni wetu leo utashangaa kusikia MTU mzima anaongea unafiki kuusu utamaduni
Shemeji yangu GENTAMYCINE hajambo? Akikusikia unaandika haya atakupa taraka mara moja.Maisha ya sasa yalivyo magumu...kwanini wapuuzi kama hao hawanitafuti?
Pesa nakula na hawapati kitu dadeeeeeki
Kasema atampatia ATM sio PESA...Hii ni habar ya KWELI au mnatuzuga??? Nimeona MTU ukimtajia neno PESA hata kama alikuwa na msimamo vipi analegeza
Kabla ya kuniuliza ninaunga mkono ushoga ilibidi ujiulize ushoga chanzo chake utokea wapi kitu ninacho kiona kwako ni uwezo wa kiakili ulionao kuwa mdogo na akili iliyo fungwa na unafiki je yesu alipo mtetea mwanamke mzinzi alikuwa anaunga mkono uzinzi au la nijibu sasa nakujibu siungi mkono ushoga wala sipingi ushoga na siungi mkono usagaji wala sipingi usagaji sababu ni nyingi ila ya msingi ni mm kutokuwa mnafiki wengi wa mashoga tunao waona wamekuwa hiyo si kwakupenda bali wengi walitwezwa nguvu akalazimishwa kuwa hivyo mfano ikiwa mtt atafanyiwa hiyo baadae aliyekuwa anamfanyia akafungwa ujue bado uyo mtt atakuwa kesha pata ulemavu ataendelea kuwa hivyo ila jamii isiyo jua ikimwona utasikia ikimlani na kusema afungwe pasi na kujiuliza ilikuwaje ukonyuma hadi kawa shoga mfano unafiki wetu ni sidoma na gomora ukisoma kwa akili" mana kupo kusoma pasipo akili" utaona sodoma iliangamizwa kwa sababu ya mabasha na siyo mashoga ila ukibisha ilo jiulize wale malaika waliotumwa walitaka kufanyiwa nini kwanguvu hadi Ruth anawaambia watu wa sodoma ninao mabinti wafanyieni hayo myatakayo ila hawa wanaume wageni wangu msiwafanyie sasa kilicho wanusuru wasilawitiwe wale malaika ni nguvu za mungu je ungekuwa wewe upendi ushoga umeingia kwenye mikono ya watu mabasha zaidi ya elfu usinge geuka shoga na mke wao japo wewe ni kidume nivizuri kujifunza kwa kutumia akiliSawa nimekuelewa.
Sawa umeunga mkono usagaji. Je una unaunga mkono ushoga?
Hoja zako zote nimezielewa mkuu:Kabla ya kuniuliza ninaunga mkono ushoga ilibidi ujiulize ushoga chanzo chake utokea wapi kitu ninacho kiona kwako ni uwezo wa kiakili ulionao kuwa mdogo na akili iliyo fungwa na unafiki je yesu alipo mtetea mwanamke mzinzi alikuwa anaunga mkono uzinzi au la nijibu sasa nakujibu siungi mkono ushoga wala sipingi ushoga na siungi mkono usagaji wala sipingi usagaji sababu ni nyingi ila ya msingi ni mm kutokuwa mnafiki wengi wa mashoga tunao waona wamekuwa hiyo si kwakupenda bali wengi walitwezwa nguvu akalazimishwa kuwa hivyo mfano ikiwa mtt atafanyiwa hiyo baadae aliyekuwa anamfanyia akafungwa ujue bado uyo mtt atakuwa kesha pata ulemavu ataendelea kuwa hivyo ila jamii isiyo jua ikimwona utasikia ikimlani na kusema afungwe pasi na kujiuliza ilikuwaje ukonyuma hadi kawa shoga mfano unafiki wetu ni sidoma na gomora ukisoma kwa akili" mana kupo kusoma pasipo akili" utaona sodoma iliangamizwa kwa sababu ya mabasha na siyo mashoga ila ukibisha ilo jiulize wale malaika waliotumwa walitaka kufanyiwa nini kwanguvu hadi Ruth anawaambia watu wa sodoma ninao mabinti wafanyieni hayo myatakayo ila hawa wanaume wageni wangu msiwafanyie sasa kilicho wanusuru wasilawitiwe wale malaika ni nguvu za mungu je ungekuwa wewe upendi ushoga umeingia kwenye mikono ya watu mabasha zaidi ya elfu usinge geuka shoga na mke wao japo wewe ni kidume nivizuri kujifunza kwa kutumia akili
sasa my tutengeze mpango hebu kuja Pm kwanzani kitmbo ndiio ..... na mimi nilijua nimeeleweka habari ya usagaji siitaki ila swala limeibuka tena mbaya zaidi muendelezo upo kwa simu.
Hata mm nimekuelewa ila tatizo tulilo nalo waafrica nikushindwa kugundua misingi ya tatizo na unafiki mfano kula tigo wanawake na kuliwa tigo ni sawa na ushoga na usagaji ila ilo atulioni kuwa ni tatizo linalo sababisha ushoga na ubasha hivi MTU akipenda kula tigo si ndiyo kesha kuwa basha atashindwa nini kumgeuza mwanaume mwenzake na basha ndiyo mzalishaji wa mashogaHoja zako zote nimezielewa mkuu:
Uwezo wangu wa akili ni mkubwa tu usiwe na shaka nao, sio tu kwamba nina uwezo mdogo wa akili bali sina upungufu wowote wa akili. Namshukuru Mungu sana kwa hilo 'Alhamdulillah'
Usihisi nimekuuliza hilo swali kizembe, kuna kitu nilitaka kukijua mkuu kutoka kwako na nashukuru Mungu nimekifahamu (sijakitaja).
Msimamo wangu mimi siungi mkono basha, shoga, anaesagwa na msagaji kwa namna yoyote hata kama mtu kajiingiza kwenye ushoga na usagaji kwa bahati mbaya au maisha yalikuwa magumu. Mashoga na wasagaji hawakosi sababu.
niungishe basi...
Hata Mimi instagram ni wasumbufu mpk wanataka wanilipe pesa
ni kitmbo ndiio ..... na mimi nilijua nimeeleweka habari ya usagaji siitaki ila swala limeibuka tena mbaya zaidi muendelezo upo kwa simu.
Elimu ya bure """ akuna akili mbovu kuzidi hii ya kuichukia dhambi kuzidi mungu anavyoichukia na hii akili usababishwa na mambo matatu chuki ubinafsi na unafiki na hiyo nisawa na kumpanda mungu kichwani .kuna watu waliwaambia wenzao kuwa dhambi walizotenda mungu awezi wasamehe mungu akawakemea kwa maneno hayo kwa sababu huko ni kumpanda mungu kichwaniHoja zako zote nimezielewa mkuu:
Uwezo wangu wa akili ni mkubwa tu usiwe na shaka nao, sio tu kwamba nina uwezo mdogo wa akili bali sina upungufu wowote wa akili. Namshukuru Mungu sana kwa hilo 'Alhamdulillah'
Usihisi nimekuuliza hilo swali kizembe, kuna kitu nilitaka kukijua mkuu kutoka kwako na nashukuru Mungu nimekifahamu (sijakitaja).
Msimamo wangu mimi siungi mkono basha, shoga, anaesagwa na msagaji kwa namna yoyote hata kama mtu kajiingiza kwenye ushoga na usagaji kwa bahati mbaya au maisha yalikuwa magumu. Mashoga na wasagaji hawakosi sababu.