Shekhe Ponda aachiwa huru

Status
Not open for further replies.

zefounda

Member
Joined
Nov 26, 2012
Posts
97
Reaction score
19
Nimepata taarifa sasa hivi kuwa shehe Ponda kaachwa huru na mahakama. Naomba taarifa halisi wana jf.
===============================================

Chanzo:Michuzi
 
Watakuwa wanapunguza wafungwa huko jela kwa ajili ya kina Prof. Muhongo na wenzie wanaodidimiza taifa kwa kuiba hela za masikini.
 
Nimeona maandamano ya watu kama 100 hivi Bara2 ya BIBI TITI ,Yaeleka kama wanashangilia kitu ila sijaelewa kwani wanaongea Kiarabu

Mkuu hata Mimi nimeyaona hayo maandamano hapa karibu na Ofisi za Zanzibar Insurance, mtaa wa Lumumba na Morogoro rd. Sijaelewa kwa nini wanaandamana
 
Kumbukeni aliyetuhumiwa kumuuwa Padri kule Zanzibar, wapi na wapi fundi seremala ambaye kazi yake ni kukereza mbao tu aweze kupata silaha na kumdungua Padri?!

Ilifunguliwa kesi na mwisho Serikali waliifuta wenyewe, hii nchi kama huijui na (hasa kwa nyinyi Wakristo) siku zote mutakua munalishwa maneno na kuamini kila muambiwacho!

Wakati tulipolewa kile kibonzo ambacho tuliambiwa walikichora FBI kwa kushirikiana na CIA Wakristo mulikua Munafurahia sana, lakini mwisho wa siku yakatokea yaliyotokea
 
kaachiwa huru na hakuna makosa aliyoyafanya na katangazwa kwamba ni ulamaa mkubwa wa kiislamu makosa aliyodaiwa kuyatenda yalikua ni ya uzushi tu! Serikali ya ccm ni mbaya sana
unalazimisha awe na makosa wakati hana
 
Takbiiiiiiiiiiiir mpiganaji, mwanaharakati SHEIKH PONDA ISSA PONDA rudi tuendeleze mapambano%
 
Anayefaa kupelekwa huko ni Askofu Kilaine kwa wizi wa fedha za watanzania masikini sio Sheikh Ponda ambaye hata kuiba penseli hajawahi

Kuna kokoto na vifaa vingine vya ujenzi viliibiwa, wakati Sheikh Ponda na maninja wenzake walipovamia na kuteka viwanja vya markazi pale chang'ombe.Tafadhali tuweke rekodi sawa.
 
Mungu mkubwa sana.
Walitaka kumuonea Shehe Ponda Lkn Haki Imeonekana.
Mara ooo Gaidi mara ohhh analeta machafuko Nchini.

Wanajaribu kuyalinda majambazi na Kuwakamata Waungwana.

Haki na Batil huwa haziendi pamoja.

Cc picchu
 
Last edited by a moderator:
Shekhe Ponda aliiba nondo nakokoto. Kama ameachiwa kila ijuma kazi ni moja kukimbizana na maandamano.
 
Mungu mkubwa sana.
Walitaka kumuonea Shehe Ponda Lkn Haki Imeonekana.
Mara ooo Gaidi mara ohhh analeta machafuko Nchini.

Wanajaribu kuyalinda majambazi na Kuwakamata Waungwana.

Haki na Batil huwa haziendi pamoja.

Cc picchu

Walimuonea sana, Mungu ampe afya njema
 
Last edited by a moderator:
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…