Shekhe Arusha Amwagiwa Tindikali

Status
Not open for further replies.

frema120

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2012
Posts
5,098
Reaction score
1,341
Shehe Mkuu wa Msikiti wa Ijumaa jijini Arusha shehe Mustafa Mohamed na Mtoto wake wamemwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana.

Na mtoto wake wa miaka 10 hali yake ni mbaya zaidi kuliko baba

Kisa anachosema shekhe ni kulazimishwa kitu na shekhe mmoja wa mwanza aliyefika hapo arusha na huyu shekhe kukaidi na kuahidiwa kuuliwa

TUKIO
anaishi karibu na msikiti alikuwaanatoka kuswalisha swala ya asbuhi, wakat anashuka ngazi akaona mtu ana kopo la maji kama mekundu, akamumwagia yeye na mtoto wake usoni na mkono.

SOURCE: Supermix EA Radio



 
Hii imetokea leo asubuh jijin Arusha shekh mkuu amwagiwa tindikali yeye pamoja na mwanae. Wahalifu hao mpaka sasa hawajajulika.

Souce East afrika radio.
 
Ahsante kwa taarifa.

Naona kibao kinawabadilikia.
 
Shehe Mkuu wa Msikiti wa Ijumaa jijini Arusha shehe Mustafa Mohamed na Mtoto wake wamemwagiwa Tindikali na watu wasiojulikana.
Source: East Africa Radio.
 
Hivi kunani huko ARUSHA? CHADEMA wanaipeleka wapi ARUSHA?
 
Huyo atakuwa alikuwa anapinga UAMSHO!!! Na jana waliachiwa hivyo wanasheherekea!!! Ha ha ha!!! Halafu kuna mijitu eti inasema CDM na tindikali, falasi nyie. CDM ni chama cha wapenda amani!!! Wewe wekeni Green brigate na polism wenu pembeni uone kama CDM ikiwa peke yake inaleta fujo. Chama cha kuwakomboa watanzania hiki.
 
Hii ni habari mbaya sana na sipendi kusikia masikioni mwangu!
 
Wewe Chabruma CHADEMA wameingiaje hapo au ndo vile shoti ya umeme ikitokea msikitini tunasema Wakristu?
 
Hizi sio nzuri kwa mstakabali wa nchi pole Shekh.!
 


Nimeipenda sana post hii Mkuu!
Copy kwa Chabruma.
 
Last edited by a moderator:
Mwenyezi Mungu amponeshe sheikh na huyo mwanawe soon.
 
Wewe Chabruma CHADEMA wameingiaje hapo au ndo vile shoti ya umeme ikitokea msikitini tunasema Wakristu?


Mkuu! Mwache huyu mjinga mwehu atoe mapofu yake tu! Sijui anafikiria kwa kutumia nini!
 
Kama mnavocomment yanapotokea Zanzibar kwa wakristo hawatakiwi Zanzibar,...je tuamini kwamba waislamu hawatakiwi Arusha? kama jibu siyo basi sote na tuamini kwamba haya ni matashi ya watu na si kitu kinachohusiana na Dini...
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…