PreGE2025 Sheikh Yakubu Saburia: Amani tuliyonayo mnaona haitoshi, waulizeni Yemen, Libya, Palestine, Syria na Iraq

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla)

Waufukweni

JF-Expert Member
Joined
May 16, 2024
Posts
4,393
Reaction score
14,499
IMAMU wa Msikiti wa Masjid Noor uliopo chini ya BAKWATA Bariadi, Mkoani Simiyu, Sheikh Yakubu Saburia, ameeleza kuwa amani ya nchi haipaswi kuhubiriwa kwa misingi ya itikadi za kisiasa au vyama, bali kama tunu ya kitaifa inayopaswa kulindwa na kila mmoja.

Akizungumza wakati wa swala ya Eidi-al-Adh-ha, Sheikh Saburia amesema Tanzania ina amani, lakini baadhi ya matamshi na mienendo ya kisiasa vinaashiria kutokuwa na dhamira ya kuitunza.

"Sisi tunayo amani, lakini tunaona kwamba haitoshi. Tunaona tunaanza kuichezea hii amani tuliyonayo, kama vile tunataka tufike mahali pa kukimbizana kama ambavyo wanakimbizana mataifa mengine," amesema Sheikh Saburia.

Your browser is not able to display this video.
 
Shehe ubwabwa huyu! Nchi zote hizo ni za waislamu Wana vurugu sana!
 
Unajua chanzo cha machafuko nchi hizo?
 
NRNE Acha Vitisho shekh hao unaowataja ni waislamu wenzako makatili
 
Njaambaya sana Aisee! Inakunyima hadi uhuru wako wa kufikiri vyema.
 
Ukweli: "Wanaotaka mabadiliko mara nyingi baada ya mabadiliko hujikuta na hali mbaya kuliko kabla ya mabadiliko."-Machiavelli.

Sasa kwa nini wanataka mabadiliko? UKOSEFU WA HAKI.
Sheikh anapohubiri amani ahubiri na haki pia. Pengine haki ni kubwa kuliko amani.
 
Asha pewa za tende hapo akili hana anachongelea huko yemeni ule ni ugaidi mbona haongelei Ulaya mfano england france germany nk
Tumekataa tupo na NO REFORMS NO ELECTION
 
NRNE Acha Vitisho shekh hao unaowataja ni waislamu wenzako makatili
Sudan kipindi wanagawana nchi walikuwa wanapigana ikifika ramadhan wanasimamisha vita, wanafunga na kula futari. Ilivyoisha wakapigana tena
Kila siku wanasingizia Marekani ila chanzo cha ugomvi wote ni waislamu wenyewe.
Wewe ni mpumbavu kiasi gani mtu wa nje tena asiyekuwa imani yako tena unamuita kafiri anakushawishi umuue muislamu mwenzako tena Quran yenyewe inasema muislamu ndugu yake ni muislamu
 
Shehe ubwabwa huyu! Nchi zote hizo ni za waislamu Wana vurugu sana!
Kwani kitendo cha wacristo kuruhusu ndoa za jinsia Moja kupitia makanisa yote Duniani sio vurugu? Au ujui kuwa mfumo Cristo ndio chanzo cha machafuko duniani
 
Shehe UBWABWA on one & two
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…