du...........km ndio hivyo tusahau kufika ,tutaendelea na safari ya kuelekea maendeleo na maisha biora isiyo na kikomo yaani maisha yetu yote yatakuwa yanaishia kusafiri tu kuelekea ustawi wa kweli na wala hatutafika iwapo watu hawa wataendelea kuexist.................
ohoooo..................ckujua kama kakobe,lwakatale nk nao wanatabiria vifo watu kama sheikh wako yahaya.............
hii dunia ina mambo kweli yaani hata ukiambiwa huyu mchawi lakini bado unatetea kwa kuwa tu dini yako na uchawi havitengani..............
huyu bwana anawapeleka watu kibao kuibiwa kwa sheikh wake huyu wa kiislamu..................kwa kuwa yeye anashikilia msimamo wa dini yake ndio maana hata umweleze vp kuhusu yahaya haambiliki na wala hashauriki................kuzimu kunawasubiri na muhammad katangulia,....
Then anaonekana anampenda sana bi mdogo huyu! cheki anavyomtazama kwa jicho la huuba utadhani ndiyo kwaanza anaimbisha!
Lakini mh! mbona anaonekana kachoka choka hivi sheukh huyu, huu mzigo anaumudu kweli au ni msaada wa GUMBA3MIX!
then anaonekana anampenda sana bi mdogo huyu! Cheki anavyomtazama kwa jicho la huuba utadhani ndiyo kwaanza anaimbisha!
Lakini mh! Mbona anaonekana kachoka choka hivi sheukh huyu, huu mzigo anaumudu kweli au ni msaada wa gumba3mix!
ohoooo..................ckujua kama kakobe,lwakatale nk nao wanatabiria vifo watu kama sheikh wako yahaya.............
hii dunia ina mambo kweli yaani hata ukiambiwa huyu mchawi lakini bado unatetea kwa kuwa tu dini yako na uchawi havitengani..............
Mkuu, uwe unaangalia sana wakati mwingine busara zako unazielekeza kwa mtu gani, kuna watu ni vipofu wa kuona hata mambo ya wazi kabisa na nikazi sana kuwazundua! maana ni kama wamekufa. Huyo bwana amefundishwa kupigana bila kufikiri ni hatari mno!