That just confirms what we knew all along. BAKWATA ni Jumuia ya Waislamu ya CCM.Sheikh Yahya Banju ametoa mifano akielezea namna madai ya Baraza kuu la Waislamu BAKWATA kudhulumu na kupora mali za waislamu.
Banju amesema hayo leo walipokutana na waandishi wa habari Kinondoni Biafra.
😂😂😂😂😂😂😂😂👍👍👍👍👍👍👍✨️😂😂😂😂😂✨️😂😂😂😂✨️✨️✨️✨️✨️That just confirms what we knew all along. BAKWATA ni Jumuia ya Waislamu ya CCM.