hii thread haina tija, haya ni marufidio, kuna thred zipo zimeorozesha madai ya waislam kwa asilimia kubwa, huu unaoleta wewe ni ushabiki mods please...!
1. Mahakama ya kadhi
2. Mfumo kristo unaokandamiza waislam uondolewe
3. Nyama ya ng'ombe ichinjwe na waislam pekee
4. Siku ya ijumaa watu wasiende kazini kama jumapili AMA SIVYO Jumapili pia watu waende kazini
5. Mabasi ya mikoani yaache kupiga nyimbo za kikristo peke yake safarini bali yawe yanapiga na kaswida
ONGEZEA MADAI MENGINE KISHA TUYACHAMBUE KWA KINA..... Kiroho safi jamani
1. Mahakama ya kadhi
2. Mfumo kristo unaokandamiza waislam uondolewe
3. Nyama ya ng'ombe ichinjwe na waislam pekee
4. Siku ya ijumaa watu wasiende kazini kama jumapili AMA SIVYO Jumapili pia watu waende kazini
5. Mabasi ya mikoani yaache kupiga nyimbo za kikristo peke yake safarini bali yawe yanapiga na kaswida
ONGEZEA MADAI MENGINE KISHA TUYACHAMBUE KWA KINA..... Kiroho safi jamani
tunahitaji ukombozi wa fikra na maombi ya kufunga
1. Mahakama ya kadhi
2. Mfumo kristo unaokandamiza waislam uondolewe
3. Nyama ya ng'ombe ichinjwe na waislam pekee
4. Siku ya ijumaa watu wasiende kazini kama jumapili AMA SIVYO Jumapili pia watu waende kazini
5. Mabasi ya mikoani yaache kupiga nyimbo za kikristo peke yake safarini bali yawe yanapiga na kaswida
ONGEZEA MADAI MENGINE KISHA TUYACHAMBUE KWA KINA..... Kiroho safi jamani
Nadhani nitapinga hiyo no 5.......anaeamua nyimbo za namna gani zipigwe ndani ya basi ni nani? Na kama nyimbo hazikuvutii usipande hilo basi.......hujalazimishwa....basi ni mali ya mtu binafsi......ingekuwa ya serikali sawa........
shule ya secondary ya kinondoni wanafunzi wawe wanafaulu kama st Mirian ya Bagamoyo
kwakua madai hayo wanaidai serikali ambayo imeundwa na dini zote.....sisi wakristo hatuna haki ya kuwajibu madai yao....kilichopo ni kuelimishana......kuvumiliana, kusamehe na kumrudia mola wetu katika kipindi hiki kigumu cha kuchonganishwa baina yetu kwa manufaa ya wachache.
Tayari dini hizi tumeshaoleana, na bado tunaoana...chuki hizi tujue ni watu wachache kwa manufaaa yao...waislamu wengi niwajuao ni watu wazuri sana, kama ilivyo kwa baadhi ya wakristo......wachache wasitugawe.
hadi uvivu kusoma..!
kwakua madai hayo wanaidai serikali ambayo imeundwa na dini zote.....sisi wakristo hatuna haki ya kuwajibu madai yao....kilichopo ni kuelimishana......kuvumiliana, kusamehe na kumrudia mola wetu katika kipindi hiki kigumu cha kuchonganishwa baina yetu kwa manufaa ya wachache.
Tayari dini hizi tumeshaoleana, na bado tunaoana...chuki hizi tujue ni watu wachache kwa manufaaa yao...waislamu wengi niwajuao ni watu wazuri sana, kama ilivyo kwa baadhi ya wakristo......wachache wasitugawe.