waziri/saidi
Member
- Jun 1, 2012
- 51
- 2
natamani hata viongozi wetu wa kiislamu wawe na elimu kama wakristo kwani wanatujenga kuwa walalamishi bila kutumia logic,hata ukweli tunaubishia,angalia hata mashuleni hatuna logic ya kubishana ila ubabe,big up mnyika huyo jamaa ni dhaifu pia mdini saaaana sema wakristo wavumilivu tu.i hate unafiki