Malaria Sugu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2009
- 2,653
- 264
- Thread starter
- #21
mtu dhaifu kama wewe unakalia udini sisi wanasonga mbele...
songa mble kwa rushwa ufisadi.
mtu dhaifu kama wewe unakalia udini sisi wanasonga mbele...
Hao viongozi wa dini wametua nchini leo? na kama jibu ni hapana, wana maoni gani kuhusu Lucinde kuanzia Arumeru hadi Dodoma?
Hao viongozi wa dini wametua nchini leo? na kama jibu ni hapana, wana maoni gani kuhusu Lucinde kuanzia Arumeru hadi Dodoma?
wamelifanyinyia nini taifa? Maji hamna, tz maskini, rushwa imejaa. Matibabu ovyooo. Watoto wanabakwa? Hawakurupuki wanakula mali za watz? Kama unataka uwapime kama wapo kwa maslahi yao. Ondosha kodi ya misamha ya kodi yao. Kama hawatatoka kipovu
Usiende nje ya mstari. Wale sio viongozi wote bali ni wenzetu wapenda kulialia.
Kwani Askofu peter mwamasika askofu mstaafu wa KKT ni uamsho naye....?
http://www.habarileo.co.tz/index.php/habari-za-kitaifa/966-viongozi-wa-dini-walaani-kauli-ya-mnyika
tatizo la serekali ya CCM inamwaga mapesa mengi kwenye makanisa kwa kisingizio Cha MOU?
pesa hizi wangaliwekeza ktk sekta ya Elimu kwa taifa. nchi ingalikuwa mbali.
sijaona kanisa duniani likangoza nchi pakwa panamafanikio
Ni shekhe wa mkoa wa Dodoma, Mustafa Shaban Rajab
Umesahu moja, wapenda nchi yao. wasiopenda nchi yao. Licha ya serekali kutoa mabilion ya MOU yanaishia matumboni mwaoNi wale ndugu zetu wa kobazi, suruali fupi na wapenda ubwabwa
Waislam na shule ni sawa na mbingu ilivyojitenga na ardhi! Mtaendelea kulalamika hadi lini???tatizo la serekali ya CCM inamwaga mapesa mengi kwenye makanisa kwa kisingizio Cha MOU?
pesa hizi wangaliwekeza ktk sekta ya Elimu kwa taifa. nchi ingalikuwa mbali.
sijaona kanisa duniani likangoza nchi pakwa panamafanikio
mnyika haujui historia ya Tz. anakurupuka
ni kuhusu kauli yake kwamba jk ni dhaifu
source: Habarileo
my take
kama rais ni dhaifu halafu anadumu miaka 7. Ni wazi wanaongozwa nao wamechoka mara 1000.
Maana hao waliokuwa wamejikaza hata ikulu hawaingii mpaka waalikwe kwa barua rasmi.
Tuache kejeli kwa watz
Wewe unajua historia ya Tanganyika? unakurupuka.
Viongozi wa Kikristo huwa hawakurupuki. Wameenda shule sio kama wenzetu.