Kibo10
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 11,277
- 8,840
Akizungumza kwenye kipindi cha SUPERMIX East Africa radio.Sheikh Mussa Salum"amesema"Sheria ya dini inasema mwanamume kama hana uwezo wa kumnunulia mke mavazi, chakula na malazi asioe.
Nimejiuliza kwa njinsi vijana wengi hawana ajira Tanzania.Wakishikilia sheria hii kinadada wengi si watabaki wapweke sana?
Kina dada ambao hamjaolewa jiandaeni kisaikolojia Shekhe keshatoa tamko vijana wamebaki kutekeleza agizo tu.
Nimejiuliza kwa njinsi vijana wengi hawana ajira Tanzania.Wakishikilia sheria hii kinadada wengi si watabaki wapweke sana?
Kina dada ambao hamjaolewa jiandaeni kisaikolojia Shekhe keshatoa tamko vijana wamebaki kutekeleza agizo tu.