Sheikh Mussa Kundecha akizungumza na Vyombo vya habari akiwasilisha Tamko la Jumuiya ya Taasisi za Kiislamu leo Novemba 20, 2025 amesema wanaunga mkono mchakato wa maridhiano ya kitaifa yaliyopendekezwa na Rais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania n kuwa wapo tayari kama jumuiya kushiriki na kuchangia kikamilifu kwakuwa wanaamini maridhiano ni sehemu ya maadili ya dini ya kiislamu