Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani, maadili na ustawi wa jamii, hasa katika kipindi hiki ambapo Taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025
Akizungumza mbele ya waumini wa Kiislamu katika Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, Sheikh Dkt. Abubakar amesema amani ndiyo msingi wa Uislamu na chachu ya maendeleo ya jamii yoyote, akisisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuhakikisha utulivu, mshikamano na maadili vinaendelea kudumishwa nchini
Aidha, kiongozi huyo wa dini amezungumzia changamoto ya mmomonyoko wa maadili unaoikabili jamii, akibainisha kuwa malezi ya watoto katika misingi ya dini na maadili ya taifa ndiyo ngao pekee ya kulinda kizazi kijacho dhidi ya athari hizo
Amewataka wazazi na walezi kuwalea watoto wao kwa misingi ya dini, heshima na upendo ili kulinda tunu za Taifa
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Denis Masanja, amewataka wananchi wote wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi mkuu ili kutimiza haki yao ya kikatiba
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani, maadili na ustawi wa jamii, hasa katika kipindi hiki ambapo Taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025
Akizungumza mbele ya waumini wa Kiislamu katika Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, Sheikh Dkt. Abubakar amesema amani ndiyo msingi wa Uislamu na chachu ya maendeleo ya jamii yoyote, akisisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuhakikisha utulivu, mshikamano na maadili vinaendelea kudumishwa nchini
Aidha, kiongozi huyo wa dini amezungumzia changamoto ya mmomonyoko wa maadili unaoikabili jamii, akibainisha kuwa malezi ya watoto katika misingi ya dini na maadili ya taifa ndiyo ngao pekee ya kulinda kizazi kijacho dhidi ya athari hizo
Amewataka wazazi na walezi kuwalea watoto wao kwa misingi ya dini, heshima na upendo ili kulinda tunu za Taifa
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Denis Masanja, amewataka wananchi wote wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi mkuu ili kutimiza haki yao ya kikatiba
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani, maadili na ustawi wa jamii, hasa katika kipindi hiki ambapo Taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025
Akizungumza mbele ya waumini wa Kiislamu katika Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, Sheikh Dkt. Abubakar amesema amani ndiyo msingi wa Uislamu na chachu ya maendeleo ya jamii yoyote, akisisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuhakikisha utulivu, mshikamano na maadili vinaendelea kudumishwa nchini
Aidha, kiongozi huyo wa dini amezungumzia changamoto ya mmomonyoko wa maadili unaoikabili jamii, akibainisha kuwa malezi ya watoto katika misingi ya dini na maadili ya taifa ndiyo ngao pekee ya kulinda kizazi kijacho dhidi ya athari hizo
Amewataka wazazi na walezi kuwalea watoto wao kwa misingi ya dini, heshima na upendo ili kulinda tunu za Taifa
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Denis Masanja, amewataka wananchi wote wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi mkuu ili kutimiza haki yao ya kikatiba
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani, maadili na ustawi wa jamii, hasa katika kipindi hiki ambapo Taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025
Akizungumza mbele ya waumini wa Kiislamu katika Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, Sheikh Dkt. Abubakar amesema amani ndiyo msingi wa Uislamu na chachu ya maendeleo ya jamii yoyote, akisisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuhakikisha utulivu, mshikamano na maadili vinaendelea kudumishwa nchini
Aidha, kiongozi huyo wa dini amezungumzia changamoto ya mmomonyoko wa maadili unaoikabili jamii, akibainisha kuwa malezi ya watoto katika misingi ya dini na maadili ya taifa ndiyo ngao pekee ya kulinda kizazi kijacho dhidi ya athari hizo
Amewataka wazazi na walezi kuwalea watoto wao kwa misingi ya dini, heshima na upendo ili kulinda tunu za Taifa
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Denis Masanja, amewataka wananchi wote wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi mkuu ili kutimiza haki yao ya kikatiba
Hivi Hawa mashehe kwa nini wanajitoa ufahamu kiasi hiki?
Amani ni tunda la haki,kama hakuna haki hakuna amani. Mbona hawahubiri haki ambayo ni shina la mema na uadilifu linalozaa "amani" wanayoihubiri majukwaani?
Ngoja nimpe mfano Shehe;
Wakati nakua,nipo Chalii, siku Moja tulitoka na Bro kwenda shambani/porini kuokota maembe. Jumla tulikuwa watano(Mimi na wenzangu watatu na bro ambaye ni mkubwa kwetu akituongoza).
Tukipata maembe mengi ile siku.
Muda wa kugawana ili Kila mmoja asepe na chake turudi home,Bro alichokifanya ni kujichagulia maembe mazuri na makubwa alafu mengi kisha akatuachia Yale yaliyobaki tugawane.
Kile kitendo Kila mmoja wetu kilimuuma,kwa nini bro ajichagulie maembe mazuri na mengi alafu atuachie mabaya tugawane wanne? Kisa wadogo? Tukawa tumestuck bila kufanya chochote Huku suds zimefura.
Dogo mmoja akasema "kaka umetuachia maembe ya hovyo siyo sawa,Hatuwezi kugawana embe za hivi"
Sasa mnatakaje?
Tukamjibu 'rudisha maembe yote kisha tugawane kwa haki,Kila mmoja aridhike. Usitukandsmize kisa sisi ni watoto"
Akarudisha kisha akaweka system Kila mmoja anachagua embe analoona linamfaa kisha anafata mwingine hadi mzunguko uishe...hadi maembe yote yaishe.
Pale Kila mmoja alitoka anafuraha mana tuligawana kwa haki hadi embe la mwisho. Na kuanzia siku ile ukawa ndiyo utaratibu wetu,bila kuangalia cheo Wala ukubwa.
Umeona faida ya HAKI KABLA YA AMANI?
1.Bro alifanya u babe kama serikali na sisiem wanavyofanya.
2.Tukareact(kudai haki sawa)
3. Bro aliona tunaleta fujo(tunavunja amani)
4. Baadae alibadilika akasema sawa tugawane kwa haki.
5. Amani ikarejea tukarudi home salama Huku tunafufahi pamoja.
HUBIRINI HAKI MAJUKWAANI NA MADHABAUNI,AMANI ITAKUJA AUTOMATIC BILA VITISHO.
Mufti na Sheikh Mkuu wa Tanzania, Sheikh Dkt. Abubakar Bin Zubeir Ally, amewataka Waislamu na Watanzania kwa ujumla kuendelea kuwa mstari wa mbele katika kulinda amani, maadili na ustawi wa jamii, hasa katika kipindi hiki ambapo Taifa linaelekea kwenye uchaguzi mkuu utakaofanyika Oktoba 29, 2025
Akizungumza mbele ya waumini wa Kiislamu katika Wilaya ya Tunduru, mkoani Ruvuma, Sheikh Dkt. Abubakar amesema amani ndiyo msingi wa Uislamu na chachu ya maendeleo ya jamii yoyote, akisisitiza kwamba Waislamu wanapaswa kuwa mfano wa kuigwa katika kuhakikisha utulivu, mshikamano na maadili vinaendelea kudumishwa nchini
Aidha, kiongozi huyo wa dini amezungumzia changamoto ya mmomonyoko wa maadili unaoikabili jamii, akibainisha kuwa malezi ya watoto katika misingi ya dini na maadili ya taifa ndiyo ngao pekee ya kulinda kizazi kijacho dhidi ya athari hizo
Amewataka wazazi na walezi kuwalea watoto wao kwa misingi ya dini, heshima na upendo ili kulinda tunu za Taifa
Kwa upande wake, Mkuu wa Wilaya ya Tunduru, Denis Masanja, amewataka wananchi wote wenye sifa za kupiga kura na waliojiandikisha katika Daftari la Kudumu la Wapigakura kujitokeza kwa wingi siku ya uchaguzi mkuu ili kutimiza haki yao ya kikatiba
Viongozi wa CCM tunaishi nao mitaani; Nyumba zao zipo mitaani kwetu, mali zao zipo mitaani kwetu.
Ofisi za CCM zipo mitaani kwetu. Ofisi za Umma nazo zipo mitaani kwetu
VItuo vya kupigia kura vipo mitaani kwetu
Mawaziri, Wabunge na Madiwani tunaishi nao mitaani kwetu, familia zao na ndugu zao tunaishi nao mitaani kwetu. Machawa na mali zao tunaishi nao mitaani kwetu.
Ndugu watanzania, mafuta ya taa, petroli na viberiti havijawahi kuwa adimu.
Tukafanye kazi iliyotukuka hiyo Oktoba 29 hadi hawa Mafisadi watuheshimu na wakome kutuchezea na kutuua.