Sheikh abaka mabinti mapacha Kigoma

Sheikh abaka mabinti mapacha Kigoma

Status
Not open for further replies.
Sheikh ambalo
kwetu lina maana ya
mwanachuoni lakini
katika lugha ya
Kiarabu lina maana
ya uzee, utemi,
uchifu, uongoz
nafikiri mpaka hapo imeeleweka kiongozi

Nimekupata mkuu, ila huyumleta Uzi sijuianamzungumzia shekh gani kati ya haouliowataja, sababu hapa tunaweza kuchanganya mambo.
 
Unashangaa nini Mganga kuwa Sheikh?
Mbona wapo wengi tu wa aina hiyo?
Na Sheikh Yahya Hussein hakuwa mganga na mtabiri wa nyota?

na pia alikuwa bingwa wa,kisoma quran AfrikaMasharki ndio kusema hivyo vitu vimategemeana.
 
if you want to learn about Islam go and learn Islam because Islam is complete while Muslims are not...
 
Sio kila anaeitwa SHEHE ana sifa za kuwa shehe!Wengine wanaona ni jina tu ila lina vigezo vyake!
 
Ni kweli mkuu, lakini haya mambo yapo na mifano hai ipo.
Kwanini basi wale Masheikh na Maustaadh wanaofanya mambo ya uganga wa kienyeji wasipigwe ban kwa ajili ya kulinda misingi na maadili ya dini?

Ndio maana waislamu wanapigania mahakama ya kadhi ili kuwadhibu watu kama hao,leo hii tumewekewa bakwata, viongozi wanateuliwa na serikali, halafu wanasema tusichanganye dini na siasa.
 
Mbona mashehe weng na maustadh ni waganga huku mtaani au waatudanganya? Wanaojua tupeni uhusiano uliopo kati ya mashehe na uganga
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Ujio mwema J33, Kama ulivyopenda kujua hapo juu !
Nikujuze kuwa neno Shehe (sheikh) ni la kiarabu kama maneno mengine yyte. Hivyo kuna maana tatu kuitwa shehe / sheikh:-

1. Mtu (me) anapofikia umri wa arobaini(40) na zaidi huitwa Sheikh, kwa kuwa umri huu wa uhai ni akaili timamu...!
2. Mtu (me) Mwenye kumiliki mali/utajiri mkubwa, Ukoo/Familiya kubwa (watoto/vizazi wengi) huitwa Sheikh kwa kuwa ni mfadhili wa jamii, muihsani wa kabila.!!
3. Mtu (me) Timamu aliyesomea elimu za juu kupitia Viyuo na scholars mbalimbali na kuwa mwanachuoni, akaweza kutafsiri maisha, baada ya kuhitimu huitwa Sheikh/shehe.


Na kwa mwanamke over 40 naye huitwa Sheikha !

Karibu/Most welcom kwa maelezo zaidi sina uvivu.... kyalankota Osaka Pukudu sawe6 mnyama k
 
Last edited by a moderator:
Ndio maana waislamu wanapigania mahakama ya kadhi ili kuwadhibu watu kama hao,leo hii tumewekewa bakwata, viongozi wanateuliwa na serikali, halafu wanasema tusichanganye dini na siasa.

Kweli mkuu GHIBUU!
 
Last edited by a moderator:
ukishasema ni mganga hawez kuwa shekh,huyo mwandish ana fikra finyu ya uchambuz,alipaswa aandike,Mganga wa kienyeji abaka mabinti mapacha kigoma,ageheshimika,lakin kwa uandishi huo anaonekana si mwerevu wa mambo,

Mbona Sheikhe Yahya alikuwa mganga wa kienyeji lakini bado ni Shekhe, mbona mashekhe wengi ni waganga? Nenda Bagamoyo uone
 
Kwa utaratibu wa Waislam, ni kwamba huyu Shekhe angeongea na wazazi wa hawa watoto angeruhusiwa kuwaoa hata kama wangekuwa na miaka 6 au 9, tatizo yeye hakufuata utaratibu
 
Kwa utaratibu wa Waislam, ni kwamba huyu Shekhe angeongea na wazazi wa hawa watoto angeruhusiwa kuwaoa hata kama wangekuwa na miaka 6 au 9, tatizo yeye hakufuata utaratibu

Kama alivofanya marehemu mtuume Mudi kwa dogodogo Aisha.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom