Shehena za silaha nzito zaendelea kumiminika huko Israel

Shehena za silaha nzito zaendelea kumiminika huko Israel

Echolima1

JF-Expert Member
Joined
Nov 2, 2019
Posts
7,434
Reaction score
6,516
Maandalizi ya shambulio la Israel dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran yanasemekana yanakaribia kukamilika, huku hatua za mwisho, ikiwa ni pamoja na upelekaji wa silaha na mipango ya uendeshaji, zinaendelea kwa sasa, kulingana na Channel 12.

Kuanzia mwezi uliopita ndege kubwa za mizigo zimetua huko Israel na Mashariki ya kati kwa ujumla. Shehena hizo ni katika kufanikisha shambulio tarajiwa la Israel dhidi ya vinu vya kinyuklia za Iran kama mazungumzo yatashindikana kati ya Iran na Marekani.

IMG_3201.jpeg
 
Maandalizi ya shambulio la Israel dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran yanasemekana yanakaribia kukamilika, huku hatua za mwisho, ikiwa ni pamoja na upelekaji wa silaha na mipango ya uendeshaji, zinaendelea kwa sasa, kulingana na Channel 12.

Kuanzia mwezi uliopita ndege kubwa za mizigo zimetua huko Israel na Mashariki ya kati kwa ujumla. Shehena hizo ni katika kufanikisha shambulio tarajiwa la Israel dhidi ya vinu vya kinyuklia za Iran kama mazungumzo yatashindikana kati ya Iran na Marekani.

View attachment 3362607
Ahsante Zumaridi kwa taarifa, ila Iran sio Hamas wala sio Gaza, huyo Bwana wako awe makini
 
Project yote ya miaka 40 ya kujilinda inakuja kuharibika Kwa siku moja....Iran nawaonea huruma Sana
 
Zumaridi unatuhabarisha kwa mnwembwe kweli
 
Project yote ya miaka 40 ya kujilinda inakuja kuharibika Kwa siku moja....Iran nawaonea huruma Sana
Iran sio Tanzania jikite kwenye kampaini ya no "reforms no election" Iran sio wapumbavu kama Tanzania tuna shindwa hata kutekereza democrasia ya ndani eti Israel ije iwapinge kwa siku moja, hamna technology ambao inaikosa tangu mwaka 2018 US na Israel wanajua Iran ina siraha za nuclear tayari.
 
Toa taarifa kamili hizo shehena za siraha zinazoingia Israel Kwa ajili ya kuishambulia Iran zinatoka wapi?
 
hata Saddamu husen mlisemaga hivyo hivyo
Sasa mtu anapigwq na dunia nzima , anakubali tu yaishe, Marekani haendi vitani peke yake lazima afuatane na mashoga wenziwe na wanavamia nchi wakati wao nchi zao zinaendelea na pirika kama kawaida, lazima mtu atashindwa, halafu kwanza wanakuekea vikwazo vya kiuchumi ukishakua dhaifu ndo wanakuvamia
 
Maandalizi ya shambulio la Israel dhidi ya vituo vya nyuklia vya Iran yanasemekana yanakaribia kukamilika, huku hatua za mwisho, ikiwa ni pamoja na upelekaji wa silaha na mipango ya uendeshaji, zinaendelea kwa sasa, kulingana na Channel 12.

Kuanzia mwezi uliopita ndege kubwa za mizigo zimetua huko Israel na Mashariki ya kati kwa ujumla. Shehena hizo ni katika kufanikisha shambulio tarajiwa la Israel dhidi ya vinu vya kinyuklia za Iran kama mazungumzo yatashindikana kati ya Iran na Marekani.

View attachment 3362607

Shalom!!!

Naona ubize umeingia ghafla kwenye maisha yako!

Leta uzi, jamii imekumiss mtumishi!!!
 
Back
Top Bottom