She love you because you meet her basic needs

Ahsante
 
Mkuu ni kweli kihekima hayo yote ni wajibu wetu, so ninachotaka mm ni kuwa wajamaa wajue ulefu wa kina cha maji wanayotaka kuogelea kikoje...

Kusiwe na kupindishwa pindishwa kwa maneno.
 
Kweli auko peke yako, kujua hayo yote.
Ni watu8 [emoji119][emoji122][emoji122]
Unamaanisha wengi ni maigizo, hatujakutana na ( Love ) bado.
 
Niongeze sauti tena au tunasikilizana majamaa

Ati nakupenda kama ulivyo, huna chochote

[emoji849]uwiiii ni uwongo, ningekua jobless tungewezana kweliii????
Tuweni makini woyi.
Ukiwaza hivyo bas ujue kuna tatizo mahali...
 
Niongeze sauti tena au tunasikilizana majamaa

Ati nakupenda kama ulivyo, huna chochote

[emoji849]uwiiii ni uwongo, ningekua jobless tungewezana kweliii????
Tuweni makini woyi.
You have a point fella
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…