dikembe
JF-Expert Member
- Apr 5, 2012
- 1,645
- 1,439
Miaka mitatu iliyopita nilikua natoka kazini nikiwa na rafiki yangu, tulikua tunatumia gari ya huyu rafiki yangu.
Tulipofika karibu na kwangu rafiki yangu alimwona binti ambaye alikua kavaa skirt fupi sana( mini-skirt).
Jamaa alikua mtu wa wanawake sana hivyo alisimamisha gari na kumwita huyu dada, binti akasogea karibu na gari upande wa dereva ambapo jamaa ndio alikua dereva.
Wakasalimiana then bint akanisalimia pia then akaonyesha kunitambua but mimi sikua namjua. Rafiki yangu akapewa namba ya simu lakini kwa bahati mbaya simu ya rafiki yangu ilikua imezima sababu ya chaji, hivyo alitumia simu yangu.
Then tukaagana na binti jamaa akanifikisha kwangu tukakaa kidogo then yeye akaondoka, alisahau kuhusu ile namba nami pia sikua na habari nayo. kwenye majira ya saa tatu na nusu usiku yule binti akapiga, kwa kua namba haukua imeseviwa nkamuuliza yeye ni nani na anamtaka nani? basi akanikumbusha then akaomba niende anione, mimi nkaenda because sio mbali, nikamkuta ananisubiri, then akaniuliza nlikua nafanya nini nkamjibu nilikua naangalia habari, akaomba aongozane na mimi kuna tamthilia anataka akaitazame.
Baada ya hapo nikatembea nae bila kikwazo, akaondoka zake.
Ikapita siku kama mbili then akantafuta tena, nikamwambia lakini mimi sie niliekusimamisha so, jamaa akijua ataona mimi sio mshkaji mzuri, binti akasema poa tu.
Jamaa akaja kuniulizia ile namba nikampa, akaja kwangu akamcall binti then mie nikaondoka, binti akampa utamu mshkaji.
Baada ya pale jamaa hakumfatilia tena yule binti, mie nikaendeleza game sababu ya ukaribu na urahisi pia, vilevile demu hakua anataka chochote zaidi ya penzi langu.
Tuliendelea na mchezo mpaka ninapoandika waraka huu,
Kikwazo ni hiki, katembea na rafiki zangu watatu lakini hao wawili ilikua kabla yangu mimi.
Sasa hivi binti hataki kuelewa kuhusu ilikua game tu kama tulivyokubaliana awali, yeye anataka ndoa. Ameshajaribu kunywa sumu mara mbili akanusurika kwa bahati njema.
Binti kaishia form four, mimi nina degree ya pili sasa,
Bint hana mawazo mazuri ya kimaendeleo yeye ni mapenzi tu,
Binti kuliwa na mtu sio issue, ni jambo la kawaida saana,
Nikimuudhi yeye anatishia kujiua au anaenda kufanya starehe,
NIPENI MWONGOZO MZURI NA SAHIHI NIKO FLEXIBLE
Tulipofika karibu na kwangu rafiki yangu alimwona binti ambaye alikua kavaa skirt fupi sana( mini-skirt).
Jamaa alikua mtu wa wanawake sana hivyo alisimamisha gari na kumwita huyu dada, binti akasogea karibu na gari upande wa dereva ambapo jamaa ndio alikua dereva.
Wakasalimiana then bint akanisalimia pia then akaonyesha kunitambua but mimi sikua namjua. Rafiki yangu akapewa namba ya simu lakini kwa bahati mbaya simu ya rafiki yangu ilikua imezima sababu ya chaji, hivyo alitumia simu yangu.
Then tukaagana na binti jamaa akanifikisha kwangu tukakaa kidogo then yeye akaondoka, alisahau kuhusu ile namba nami pia sikua na habari nayo. kwenye majira ya saa tatu na nusu usiku yule binti akapiga, kwa kua namba haukua imeseviwa nkamuuliza yeye ni nani na anamtaka nani? basi akanikumbusha then akaomba niende anione, mimi nkaenda because sio mbali, nikamkuta ananisubiri, then akaniuliza nlikua nafanya nini nkamjibu nilikua naangalia habari, akaomba aongozane na mimi kuna tamthilia anataka akaitazame.
Baada ya hapo nikatembea nae bila kikwazo, akaondoka zake.
Ikapita siku kama mbili then akantafuta tena, nikamwambia lakini mimi sie niliekusimamisha so, jamaa akijua ataona mimi sio mshkaji mzuri, binti akasema poa tu.
Jamaa akaja kuniulizia ile namba nikampa, akaja kwangu akamcall binti then mie nikaondoka, binti akampa utamu mshkaji.
Baada ya pale jamaa hakumfatilia tena yule binti, mie nikaendeleza game sababu ya ukaribu na urahisi pia, vilevile demu hakua anataka chochote zaidi ya penzi langu.
Tuliendelea na mchezo mpaka ninapoandika waraka huu,
Kikwazo ni hiki, katembea na rafiki zangu watatu lakini hao wawili ilikua kabla yangu mimi.
Sasa hivi binti hataki kuelewa kuhusu ilikua game tu kama tulivyokubaliana awali, yeye anataka ndoa. Ameshajaribu kunywa sumu mara mbili akanusurika kwa bahati njema.
Binti kaishia form four, mimi nina degree ya pili sasa,
Bint hana mawazo mazuri ya kimaendeleo yeye ni mapenzi tu,
Binti kuliwa na mtu sio issue, ni jambo la kawaida saana,
Nikimuudhi yeye anatishia kujiua au anaenda kufanya starehe,
NIPENI MWONGOZO MZURI NA SAHIHI NIKO FLEXIBLE