Sharo na majuto......!

Status
Not open for further replies.
R.I.P SHARO, Tutakumisi sana
 

Hayakuhusu. Ukishajua uhusiano wao wewe itakusaidia nini? Leteni hoja za msingi. Kama huna cha kuandika kaa kimya. Soma michango ya akina mwanakijiji. Utaelimika. Natoa onyo kali.
 
Eti Mnyika nae ni mtoto wa Mbowe.Mimi nasikia tu mtaani ni kweli jamani
 
Akiwa mwanawe acwe mwanawe we itakusaidia nini? Chamsingi tujiandae kwenda kuzika2
 
pia inawezekana lakini tuthibitishie ili tufahamu zipi kapi na zipi chenga.

Akuthibitishie kwa kuleta vyeti vya kuzaliwa au akuthibitishieje? Ashakuambia si mtoto wake, si ndio ulitaka jibu? Kama ulitaka vithibitisho ungevidai kwenye swali la msingi.
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…