Sharif Hamad adondosha chozi...!

Hakuna sehemu Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa Shein ameshinda ,hebu rudieni kikamilifu hiyo hotuba ya Maalim Seif na muisikilize kwa kituo ,punguzeni peresha mnaposikiliza maneno ya Seif ,kuna onyo flani aliwaambia kuwa wasicheze na utulivu ulioonyeshwa anytime kunaweza kukazuka fujo jipya ,hivyo kila mtu atunze mwenendo wake kwa maana hakuna kubezana.

Hii siyo hoja ukweli unabaki palepale kuwa chama tawala zanzibar ni CCM na mwongozo wa utawala huo ni ilani ya chama tawala. Hii maana yake ni kuwa CUF wanatakiwa watekeleze ilani ya uchaguzi ya CCM kwenye hiyo serikali yao wanayoiita ya umoja wa kitaifa. Sasa sijui ile sera yao ya serikali tatu wataitekeleza vipi manaake Maalimu seifu haamini katika serikali mbili zilizopo sasa.
 
Busara itumike, mambo gani haya watu tumetazama mwanzo mpaka mwisho hayo machozi hatukuyaona kwani alikuwa kashtukizwa?
 
Back
Top Bottom